Ukiwa JF acha ujinga

Thread zisizokua za maana bwana, zinajadiliwa kwa urefu kweli ... inanisikitisha
 
Mkuu, usishangae sana ndio ukomo wa frikra zake ulipofikia hapo.... na kwa kuwa ni ,wamwanachama wa MMU ndio maana unaona na wengine wanaendeleza upupu!
 
:lol::lol::lol: raha tele ndani ya JF...aa mbavu zangu mie
haya na mie nitaletea mitongozo yote jamvini ili kuendeleza libeneke hahahah
pole we nazjaz ndo ukome kuweka mambo ya ndani hadharani
ndoa utaiweza kweli wewe??hee!huna siri!!
 
Mkuu, usishangae sana ndio ukomo wa frikra zake ulipofikia hapo.... na kwa kuwa ni ,wamwanachama wa MMU ndio maana unaona na wengine wanaendeleza upupu!

naunga mkono hoja
 
Dah yaani hii thread bado inaendelea kupumua...!! mpaka mtoa mada ajute!!...
 
<p>
JF kisima cha burudani, waziri anatafuta nini hapa badala ya kutumikia wananchi..ndo maana nchi yetu ina matatizo mengi sana
</p>
<p>&nbsp;</p>
sasa jamani atumikie wananchi asahau matatizo yake binafsi?hivi hatujawahi shuhudia waziri akioa in his fame eeh?
 


Biashara matangazo!
 
Ooh!am ver sor Nazjaz sijafanya hivyo kwa makusudi ni msukumo wa kimwili na kiroho umepelekea nifikie ha2a hiyo c unajua tangu nitoke Loliondo mahitaji yangu ya kimwili yameongezeka kwa 73% na hata vile vidudu hatari kwisha kabisa na vyet ninavyo so usiogope Nazjaz wangu,Jamani wana Jamii wenzangu naomba msinilaumu kwa kushindwa kuvumilia,mtoto yupo njema kila idara mashaalaah! Maeneo ya kati 41% miguu 11% face 31% usafi 15% smile 2% plus the way she talk tobaaaaaa!acha kubana mtoto weweee....lol.
 
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life

Bila Shaka huyo ni waziri Sonyo ama Waziri Mahadhi......Waziri Saidi anauza mitumba kule Temeke ninauhakika hana muda na JF
 
tehe tehe tehe tehe tehe. Nilikuwa sitaki kucheka leo, ila imenbd ntabasam japo kdgo!!
Bila Shaka huyo ni waziri Sonyo ama Waziri Mahadhi......Waziri Saidi anauza mitumba kule Temeke ninauhakika hana muda na JF
 
Nazjaz acha wenge we mtoto ucjiingize sokoni kwa nguvu.Waziri gani mpumbavu ashoboke na kivuli ,acha kujitengenezea miujiko yakishamba.
 
Bila Shaka huyo ni waziri Sonyo ama Waziri Mahadhi......Waziri Saidi anauza mitumba kule Temeke ninauhakika hana muda na JF

umenichekesha sana hadi mbavu zangu zote zauma. Wasalimie sana Ukerewe.
 
Mh, kajuaje kuwa wewe ni mwanamke? Manake jina lako hata halielezi wewe ni wa jinsia gani
 
Nazjaz, usha pata mpenzi wa kudumu? Kama bado basi nipe nafasi
 
Waziri gani atamtongoza nazjaz bana?, watu wanaoteshwa vikombe huyu kaoteshwa anatongozwa na waziri. haujatongozwa bana, anaetongozwa hasemi.
kimya kimyaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…