Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
As a lady, lazima natokewa. A problem ni kwamba huyo anayedai eti yeye ni waziri wa wizara nyeti atanikomesha iwapo nitamkataa.
As a lady, lazima natokewa. A problem ni kwamba huyo anayedai eti yeye ni waziri wa wizara nyeti atanikomesha iwapo nitamkataa.
Hapa hakuna cha uzuri wowote! Huna uzuri wowote! Unaweka mpicha wako umepiga mipicha ya ajabu ajabu unategemea nini? Ulichokitafuta umekipata sasa lawama za nini? "Eti Waziri" mambo yako ya Pm yana2husu nini sisi? Cjui hta ni nani alikufundisha ku-click manake bdo unaonekana mshamba! PM Manake kila ki2 unamaliza wewe mwenyewe! Cha ajabu ni nini? Kwani hujawah kutongozwa? Na ulipotongozwa ulianika huo mtongozo wako kwenye JF? Nadhan wewe unatangaza NIA kupitia huo m-picha wako! Shame on u! Shiit!
As a lady, lazima natokewa
Ameniboa ile mbaya simtaji jina wala wizara yake. Ila akae akijua JF sio danguro
Anatuzuga tu huyu.Mwanike hapa, plz!
wewe shori unatafuta attention i see......inaonekana uko sokoni hujatongozwa long time.....kutakwa shukuru Mungu wako.....tena kwa mtu kama mie ujue nakupaishaEti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
Nimepitia kurasa zote na jumuisho nililopata ni kuwa huyu binti kosa lake ni kuleta PM (mambo ya chumbani) hadharani. Sasa kama kosa ni hilo, si ingetosha kumfahamisha tu? Pengine alikuwa haelewi kipengele cha kanuni hii. Au kuna kosa jengine ambalo nimeshindwa kulisoma katikati ya mistari?
Mbona unausema moyo wa mtu hebu angalia join date yake kwanza usije ukasema ni mgeniNimepitia kurasa zote na jumuisho nililopata ni kuwa huyu binti kosa lake ni kuleta PM (mambo ya chumbani) hadharani. Sasa kama kosa ni hilo, si ingetosha kumfahamisha tu? Pengine alikuwa haelewi kipengele cha kanuni hii. Au kuna kosa jengine ambalo nimeshindwa kulisoma katikati ya mistari?
hehehe hawa wanaosema huyu mgeni nazani wao ndio wageni, hebu waende kwenye profile la huyu mdada halaf waangalie sredi alizoanzisha b4. miongoni mwao niMbona unausema moyo wa mtu hebu angalia join date yake kwanza usije ukasema ni mgeni
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
ulipokosea ni kwamba thread yako ni kama status ya fb.. " JF unaongea issue kamili pamoja na ushahidi wadau wachangie.. " nafikiri ndio tafsiri sahihi ya forum
hehehe hawa wanaosema huyu mgeni nazani wao ndio wageni, hebu waende kwenye profile la huyu mdada halaf waangalie sredi alizoanzisha b4. miongoni mwao ni
-midume inayoniPM
-wiki bila kutongozwa
-na hii ya leo waziri kamtongoza.
khaaaa!
yaani huyu ukifatilia sredi zake unapata formula hii : first name ni "nazjaz" middle name "PM" na surname "kutongozwa"
Since she's obviously new here, you could as well tell her kindly and not making an issue out of it while at it..kuna mmoja hapo chini mpaka katukana...let the lady be..mbona mimi hainisumbui hata akisema anatakwa na Obama its her giving out her wishlist albeit loudly..kwa kumsaidia tumfahamishe tu utaratibu, thts all fellas
New? JF Senior Expert Member with 447 posts as of this reply??!!Hata kama join date ni Jan,2011... usitetee ujinga!
Kutongozwa inaweza ikawa sifa au kero lakini angewasiliana na mods wamwondolee access ya PM kama inamsumbua. btw, inategemea na yeye anajitetua vipi kwa maongezi huko PM mana mtu hawezi akakutongoza na kukutishia kama vile wewe ni mtoto mdogo.
Kama metongozwa na mwanaume ambaye ni waziri au waziri ambaye ni mwanaume, hiyo ni juu yake na hatukuhitaji kujua.
I am not supporting 'ujinga' but does she know it ?? And why has the mods leave this thread since it was posted if it has broken any rules???
Lastly...lastly....umesema huhitaji kujua her private life..well leave it private! Don't contribute to it pls...
All am saying is, maybe she doesn't know the rules, let's give her that benefit of doubt...we better argue responsibly and not arguing for the sake of it and to the extent of bellittling(sp) some people
Please google a poem by desiderata....its very inspiring and has taught me a lot about people there is a clip there' ....surrender, be on good terms with all persons..even the fools they too have their story..' Ukivutiwa nayo you can print and paste it somewhere u can read and get inspired then vitu kama hivi wala havitakusumbua..ni ushauri tu
Mhandisi
hahahaha! Sungusungu????kosa kuleta mitongozo hapa. Mbona wenzie tunaichunia.
Hili lisread lifungwe, uchunguzi unaonesha aliyemtongoza naz alikuwa ni sungusungu na sio waziri kama habari ilivyokuja. Poleni mawaziri wote. Endeleeni kulijenga taifa.
CLOSED.