Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life
We kanazjaz unaonekana bado hujakua vizuri hapa ni kwa GREAT THINKERS usilete maisha ya kitamthilia kama huko ulipokuwa FB. wakati unakandamizwa kizenj mbona huwa husemi? Ujinga wako peleka huko kwa masharobaro wenzako wa FB hapa tunataka MAWAZO YA UKOMBOZI WA NCHI YETU.