Ukiwa JF acha ujinga


Thanks for noting that I knew how to google this year !

And I haven't seen any lessons here either to her or others...

The Mods have read it and let it be..why don't u ?

One love

Mhandisi 'aliyejifunza kugoogle mwaka huu...and loving it !'
 
mie sijaona why mnamuatack huyo Nazjaz kama thread mnaiona ni utoto ushamba ujinga si muipotezee tu?

mwaya Naz changamka mabuzi ndio hayoooo yanajileta yenyewe!:tape:

Unajua sheria za Pm au umekurupuka kutetea upupu, Members hawakubaliani na kwenda kinyume na sheria na taratibu za PM!
Mmeanza kwa PM mmalizane kwa PM
kuleta hapa ni kuonesha uhondari wa kutongozwa.
Aonesha basi uhodari wa kukubali pia.
 
Unajua sheria za Pm au umekurupuka kutetea upupu, Members hawakubaliani na kwenda kinyume na sheria na taratibu za PM!
Mmeanza kwa PM mmalizane kwa PM
kuleta hapa ni kuonesha uhondari wa kutongozwa.
Aonesha basi uhodari wa kukubali pia.


Unavunja sheria ya JF pale unapocopy PM na kuipaste ukumbini na itaonyesha imetoka kwa nani.

Nazjaz hajavunja sheria, nadhani watu wamekurupuka tu kwa vile walikariri neno PM katika sheria za JF.
 


Seconded.

JF where we dare to talk openly ila kuna baadhi ya watu wanataka kuwafunga wenzao midomo.
 

Japokuwa Klorokwin ni chungu naipenda sana kuliko glucose🙂)ha ha ha
Umenichekesha vibaya!..Sina cha kuongeza, uwe na sunday njema!!
 
Alchokifanya kna tofaut gn na kucopy na kupaste?? Huyo sungusungu alye m PM c ni kwmba altaka wamalzane huko huko? Hv kla m2 akiamka asbh na kuanza kuanika mambo yke ya PM unadhan patatosha kweli? Nini hasa maana ya private??? Sa 2msaidie nini huyu Nazjaz??
Unavunja sheria ya JF pale unapocopy PM na kuipaste ukumbini na itaonyesha imetoka kwa nani.

Nazjaz hajavunja sheria, nadhani watu wamekurupuka tu kwa vile walikariri neno PM katika sheria za JF.
 
Kumbe wewe ni mrembo
Huoni kama ni bahati hiyo kutongozwa na waziri?
Mi naona unatafuta kaujiko flani umetongozwa PM alafu unaleta ishu iwe mjadala sebuleni si mngemalizana huko huko kimya kimya.
Dogo achana nae, nimegundua huyu sio wengi hapa sex zao atujui, atueleze kwanza imekuaje mpaka wantishana, kwa lipi?
 
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life

Lakini si uliwahi kulalamika siku moja kuwa kuna week ukuwahi kusalimiwa wala kusifia humo majiani, ukaanza kuhisi labda umeanza kuzeeka au nyota yako imetembelewa na mtu...! Sasa watu wanakutokea unalalamika tena.


Source:
Wiki nzima bila kutongozwa
 
Eti mtu ana ni pm halafu ananiambia kuwa yeye ni waziri na ananitaka na eti atabadilisha maisha yangu.
Najua hapa JF kawadanganya wengi, ila aache ujinga thats not life

Umejuaje kuwa kawadanganya wengi? teh teh teh Is it right ku asssume alikudanganya kwa alias nyingine so umekuwa mjanja sasa?
 
nmejarb kupitia ile sred yake ya wiki nzima bila kutongozwa, nmegundua huyu Naz co isue, halmashauri yake ya kichwa itakuwa imekata network. Anahitaji maombi ya nguvu cz nahic atakuwa na yale mapepo ya nani hiii....dah hv huwa anawaza nini???
Ujinga mtupu umeona eeehhhhh
 
Hayo ni mawazo yake potofu! Tena ashindwe na alegee. Wa2 2nawaza namna gn 2taikomboa nchi mikononi mwa mafisadi ye ana2letea swaga za uswazi, aende zake bana!
Kwahiyo Freema anataka kusema nyie ni adui wa Nazjaz kwa vile amesema anatakwa na waziri kazi kweli kweli,women you have got issues.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…