Ukiwa Kama Mtanzania mwenye akili timamu unakubaliana na haya yanayoendelea?

Ukiwa Kama Mtanzania mwenye akili timamu unakubaliana na haya yanayoendelea?

Bapalidako

Member
Joined
Aug 6, 2024
Posts
79
Reaction score
166
Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa kazi,alijipambanua yeye ni Rais wa wanyonge na alichukia ufisadi na kila mtu aliona na hakucheka na majizi, tulitembea kifua mbele tukijivunia Rais wetu Mpendwa ingawa hakuwatendea wapinzani inavyostairi.
Leo tunaye mama Samia, kwa kweli inchi imemshinda,tunaombeni mlioko juu mumshauri mama apumzike,kama tulikosea sababu ya katiba basi tusindelee kukosea tena kama tunaipenda inchi yetu,atafutwe mwingine atakayetuongoza,hatuweze kuona inchi yetu inaingia Shimoni huku tunaiona,Mama viatu havimtoshi
 
Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa kazi,alijipambanua yeye ni Rais wa wanyonge na alichukia ufisadi na kila mtu aliona na hakucheka na majizi, tulitembea kifua mbele tukijivunia Rais wetu Mpendwa ingawa hakuwatendea wapinzani inavyostairi.
Leo tunaye mama Samia, kwa kweli inchi imemshinda,tunaombeni mlioko juu mumshauri mama apumzike,kama tulikosea sababu ya katiba basi tusindelee kukosea tena kama tunaipenda inchi yetu,atafutwe mwingine atakayetuongoza,hatuweze kuona inchi yetu inaingia Shimoni huku tunaiona,Mama viatu havimtoshi
It's too late to apologise. Shika vidole vya miguu uendelee kula mboko hadi ukawasimulie wajukuu zako.
 
“Hatua ya kufuta vijiji na vitongoji ni hatua inayoenda mbali sana. Maana yake ni kwamba wananchi wahusika hawatakuwa na serikali zao za mitaa vijijini na vitongojini. Hii ni kinyume cha ibara ya 145 na 146 ya Katiba ambayo inazungumzia Madaraka ya Umma na kuweka Serikali za Mitaa. Kuwa na madaraka ngazi ya vijiji ni mosi, kuimarisha demokrasia ngazi za chini; pili kuwezesha wananchi waishio vijijini kushiriki katika utawala ambayo ni haki yao kwa mujibu wa ibara 21(1); na tatu, waishio katika eneo hilo kupata haki ya kuchagua na kuchaguliwa katika Halmashauri zao kama wananchi wenzao waishio katika maeneo mengine. Kwa kuwa vijiji vimefutwa wananchi hao watakosa haki hizo. Kwa maneno mengine wamekuwa disenfranchised (Kuporwa haki). Jamani tunaelekea wapi? Nini lengo la kufanya hivyo? Je tuelewe vipi? Tuambiwe waziwazi kama jamii ya Kimaasai waishio Ngorongoro ni wananchi au wakimbizi wa ndani? Prof. Shivji

Maneno ya Mhadhiri Mwandamizi Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Profesa wa Sheria Profesa Issa Shivji kupitia mtandao wake wa X.
20240820_162254.jpg
 
Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa kazi,alijipambanua yeye ni Rais wa wanyonge na alichukia ufisadi na kila mtu aliona na hakucheka na majizi, tulitembea kifua mbele tukijivunia Rais wetu Mpendwa ingawa hakuwatendea wapinzani inavyostairi.
Leo tunaye mama Samia, kwa kweli inchi imemshinda,tunaombeni mlioko juu mumshauri mama apumzike,kama tulikosea sababu ya katiba basi tusindelee kukosea tena kama tunaipenda inchi yetu,atafutwe mwingine atakayetuongoza,hatuweze kuona inchi yetu inaingia Shimoni huku tunaiona,Mama viatu havimtoshi
Hayo maneno ya kipumbavu mlianza kuongea Toka day 1 na Hadi Leo SSH yupo na anachapa kazi.

Unaposema Nchi imemshinda uwe unasema imemshindaje badala ya ku express matamanio Yako ya kipuuzi ambayo sio lazima Kila mtu atamani.

Wewe ndio ukiridhika na Rais wako wa Wanyonge ,Mimi sijawahi furahia ,yaani nifurahie ukosefu wa Ajira na umaskini?

Acha ujinga.Samia Anatosha na chenji inabaki,hutaki meza misumari 👇👇

View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1825872210612945347?t=917h-UYDVo75MVQBoDviTw&s=19
 
Nchi inaharibiwa na kikundi cha watu wachache.

Bima ya afya ya toto afya imeyeyuka😭
Tozo za ajabuajabu
Wizi wa. Mali ya ummah umekithiri
Maisha yamezidi kuwa magumu
Matumizi mabovu

Huduma za afya zipo juu

Internet gharama zipo juu mnoo.

Kila siku mwananchi anapojaribu kutafuta ahueni kwa kujiajiri anakandamizwa na serikali kwa Kila njia
 
Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa kazi,alijipambanua yeye ni Rais wa wanyonge na alichukia ufisadi na kila mtu aliona na hakucheka na majizi, tulitembea kifua mbele tukijivunia Rais wetu Mpendwa ingawa hakuwatendea wapinzani inavyostairi.
Leo tunaye mama Samia, kwa kweli inchi imemshinda,tunaombeni mlioko juu mumshauri mama apumzike,kama tulikosea sababu ya katiba basi tusindelee kukosea tena kama tunaipenda inchi yetu,atafutwe mwingine atakayetuongoza,hatuweze kuona inchi yetu inaingia Shimoni huku tunaiona,Mama viatu havimtoshi
Wacha yaendelee Tu

Yatakuja kuisha huko mbele kwa mbele
 
Una ugomvi gani na r na L we mjukuu wa mwendazake?
 
Ku
Hayo maneno ya kipumbavu mlianza kuongea Toka day 1 na Hadi Leo SSH yupo na anachapa kazi.

Unaposema Nchi imemshinda uwe unasema imemshindaje badala ya ku express matamanio Yako ya kipuuzi ambayo sio lazima Kila mtu atamani.

Wewe ndio ukiridhika na Rais wako wa Wanyonge ,Mimi sijawahi furahia ,yaani nifurahie ukosefu wa Ajira na umaskini?

Acha ujinga.Samia Anatosha na chenji inabaki,hutaki meza misumari 👇👇

View: https://twitter.com/Mwanahalisitz/status/1825872210612945347?t=917h-UYDVo75MVQBoDviTw&s=19

Kwa akili yako labda nikuulize huyo DP World alikuja na nini hapo bandarini alichokikuta ambacho hakikuwepo?
 
Mimi naomba auze na Dar es Salaam yote labda ndio watu watashituka.
Kwa speed anayoenda nayo wajiandae tu na lile jumba jeupe pale, soon unaweza sikia imekuwa hotel ya kitalii.

Madalali wa Buza wana la kujifunza kwa Bi. Mdashi, ana mbinu hasa za kuuza vitu.
 
Kwa speed anayoenda nayo wajiandae tu na lile jumba jeupe pale, soon unaweza sikia imekuwa hotel ya kitalii.

Madalali wa Buza wana la kujifunza kwa Bi. Mdashi, ana mbinu hasa za kuuza vitu.
Inachosikitisha watu wasiokuwa na akili wanaojiita machawa ndiyo wanaompigia promo
 
Back
Top Bottom