MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wewe sio mtanzania.Kuna maana gani kama unajua kuandika halafu unajiita chawa wa mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio mtanzania.Kuna maana gani kama unajua kuandika halafu unajiita chawa wa mtu
Dah!Ngoja watoto wenye wivu mkubwa na mama Yao wakusikie,utakula spana hadi ujute kuzaliwa Danganyika!
Kijana mkubwa wa mama Lucas Mwashambwa pia kipenzi Cha mama ChoiceVariable bila kusahau kitinda mimba wa mama MamaSamia2025 Hawa wanakuja kukupa vidonge vyako!
Atachongesha viatu mkuu ataendelea kuupiga mwingiTulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa kazi,alijipambanua yeye ni Rais wa wanyonge na alichukia ufisadi na kila mtu aliona na hakucheka na majizi, tulitembea kifua mbele tukijivunia Rais wetu Mpendwa ingawa hakuwatendea wapinzani inavyostairi.
Leo tunaye mama Samia, kwa kweli inchi imemshinda,tunaombeni mlioko juu mumshauri mama apumzike,kama tulikosea sababu ya katiba basi tusindelee kukosea tena kama tunaipenda inchi yetu,atafutwe mwingine atakayetuongoza,hatuweze kuona inchi yetu inaingia Shimoni huku tunaiona,Mama viatu havimtoshi
Hivi unaonaje kama tungekutana wawili tu mimi na wewe tena porini,ungethubutu kunitukana"Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa"
Futa huu upumbavu😳