Ukiwa Kama Mtanzania mwenye akili timamu unakubaliana na haya yanayoendelea?

Ukiwa Kama Mtanzania mwenye akili timamu unakubaliana na haya yanayoendelea?

"Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa"

Futa huu upumbavu😳
 
Ngoja watoto wenye wivu mkubwa na mama Yao wakusikie,utakula spana hadi ujute kuzaliwa Danganyika!

Kijana mkubwa wa mama Lucas Mwashambwa pia kipenzi Cha mama ChoiceVariable bila kusahau kitinda mimba wa mama MamaSamia2025 Hawa wanakuja kukupa vidonge vyako!
Dah!

hao ni watoto, tunaweza kuwachukulia hivyo hivyo kwa utoto wao; lakini kumbe wewe hujawahi kukutana na mtu hatari zaidi ya hao watoto?
Huyu ambaye hujakutana naye sijui tumuite ni nini wa huyo mama, bila shaka atakuwa ni "mpango wa pembeni" wa mama.
Na huyo si mwingine bali ni 'shetani, mvuta bangi', kwa jina akiitwa 'Tlaatlaah'! Mara nyingine hujitambulisha huyu ndiye 'Chura Kiziwi' mwenyewe. Kama siyo mpango wa kando, nani mwingine wa kujipachika sifa hiyo huku akiwa hana!

Hebu mpigie makofi kwa utambulisho huu 'Tlaatlaah'
 
Hivi Makonda hajatia neno kwenye mgomo wa wamasai? Ngorongoro iko mkoa wa Arusha ujue.... au bado anaendelea na likizo? 😳 🤔 :AYOOO:
 
Tulipompata Rais wetu Mpendwa Magufuri kalibu kila mtu alilizika, na utendaje wake wa kazi,alijipambanua yeye ni Rais wa wanyonge na alichukia ufisadi na kila mtu aliona na hakucheka na majizi, tulitembea kifua mbele tukijivunia Rais wetu Mpendwa ingawa hakuwatendea wapinzani inavyostairi.
Leo tunaye mama Samia, kwa kweli inchi imemshinda,tunaombeni mlioko juu mumshauri mama apumzike,kama tulikosea sababu ya katiba basi tusindelee kukosea tena kama tunaipenda inchi yetu,atafutwe mwingine atakayetuongoza,hatuweze kuona inchi yetu inaingia Shimoni huku tunaiona,Mama viatu havimtoshi
Atachongesha viatu mkuu ataendelea kuupiga mwingi
 
Back
Top Bottom