Ukiwa kwenye mahusiano na Single Mother anaejitambua hata kama hutamuoa yeye hakika utapenda uoe uwe na mke

Ukiwa kwenye mahusiano na Single Mother anaejitambua hata kama hutamuoa yeye hakika utapenda uoe uwe na mke

Salamu jamii,

Tunazaliwa tunakutana na taratibu za jamii na za mungu.

Pamoja na vijembe vya wanaume desperate na wenye chuki za kitoto na za kimaskini.

Nawaambia kweli iliyo kweli, ukipata bahati ya kuwa na mahusiano na Single Mother anaejitambua hakika hata kama hutomuoa yeye basi iwe isiwe utapenda uoe na uwe na mke.

Single Mother anaejitambua ni daraja la mafanikio kwenye maisha.

Mungu ni wetu sote

Shukrani [emoji120][emoji120][emoji120]

Wadiz
Nimesoma heading tu nikaona niwahi kukoment kwanza then ntarudi kusoma uzi.
Iko hivi...labda hujakutana na single mother ambaye ana stress za maisha alishavurugwa akili zikayumba
Mbunye utakuwa unapewa ila jiandae na vizinga, kisirani na majibizano mpaka michambo.
 
Ila kijana km ujaoa usijaribu kuoa single mother ..mm nimebahatika kupata mtt na mdada mmoja hv tuliishii miaka mitano km mke na mume no ndoa ,baadae yakatokea yakutokea msela nikapita hv na mtt wangu ikapita miaka miwili napambana na dogo ,Dem yy naye akaendelea na maishà yake akapata mselaaa ,msela akachota chombo akaweka ndan Tena Kwa harusi kbs uku akijua kbs Dem n single Maza ,bac baada ya ndoa haijapita hata miez cta Dem ananitafutaa ooohh nimemic familia yangu ambayo n ww na mtt najuta hata kwann nimeolewa nikawachaa..mm kmyaa ,bac usumbufu ukaanza nimemic penzi lako ,mara ntakujaa home then tufanye yetu uku nilipo sifurah kbs kitandan ,mm nikaona c vzr kumlia mshikaji mzigo wakee maaana kagharamia mpk harusi alafu Leo tu amfumee Bado namla manzi Ake itakuwa fedhea na akimuacha ataendaa wap ,maana mm mwenyewe cna time nae ..ilaa Dem kageuka msumbufu mpk nataman nipate namba ya jamaa yake nimwambiee amwambiee mkewe atuliee ,mm na yy tulishafunga kurasa ...
Dah.!
 
Ila kijana km ujaoa usijaribu kuoa single mother ..mm nimebahatika kupata mtt na mdada mmoja hv tuliishii miaka mitano km mke na mume no ndoa ,baadae yakatokea yakutokea msela nikapita hv na mtt wangu ikapita miaka miwili napambana na dogo ,Dem yy naye akaendelea na maishà yake akapata mselaaa ,msela akachota chombo akaweka ndan Tena Kwa harusi kbs uku akijua kbs Dem n single Maza ,bac baada ya ndoa haijapita hata miez cta Dem ananitafutaa ooohh nimemic familia yangu ambayo n ww na mtt najuta hata kwann nimeolewa nikawachaa..mm kmyaa ,bac usumbufu ukaanza nimemic penzi lako ,mara ntakujaa home then tufanye yetu uku nilipo sifurah kbs kitandan ,mm nikaona c vzr kumlia mshikaji mzigo wakee maaana kagharamia mpk harusi alafu Leo tu amfumee Bado namla manzi Ake itakuwa fedhea na akimuacha ataendaa wap ,maana mm mwenyewe cna time nae ..ilaa Dem kageuka msumbufu mpk nataman nipate namba ya jamaa yake nimwambiee amwambiee mkewe atuliee ,mm na yy tulishafunga kurasa ...
Ume ongea ukweli mkuu.

Na si kama vijana kampeni yetu na msimamo wetu ni ule ule..[emoji116]

TUNA KATAA SINGLE MAZA

SINGLE MAZA NI MKOSI

SINGLE MAZA NI MTEGO

SINGLE MAZA NI WAKE ZA WATU.
.
 
PIGA VITA SINGLE MAZA

EPUKA SINGLE MAZA.

JIHADHARI NA SINGLE MAZA

SINGLE MAZA NI MTEGO.
 
Well said 🌹
Una busara sana Mwenyezi Mungu amekujalia.
Mimi ni single mama but mume wangu alifariki kwa ajali ya gari baada ya kugonga lori. Aliniacha na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na miezi 3 na sasa amekua namshukuru Mungu.
So wanaume wanaowakejeli single mamas nashindwa kuelewa kama wana ubinadamu na utu.
After all watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu; ni familia ngapi zinatafuta watoto usiku na mchana!
 
Siwezi toa kauli/comments ambayo itamfanya mdada mwenye mtoto ajiskie vby, siwezi jua mazingira yaliyomfanya akapata mtoto

Una busara sana Mwenyezi Mungu amekujalia.
Mimi ni single mama but mume wangu alifariki kwa ajali ya gari baada ya kugonga lori. Aliniacha na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na miezi 3 na sasa amekua namshukuru Mungu.
So wanaume wanaowakejeli single mamas nashindwa kuelewa kama wana ubinadamu na utu.
After all watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu; ni familia ngapi zinatafuta watoto usiku na mchana!
 
Una busara sana Mwenyezi Mungu amekujalia.
Mimi ni single mama but mume wangu alifariki kwa ajali ya gari baada ya kugonga lori. Aliniacha na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na miezi 3 na sasa amekua namshukuru Mungu.
So wanaume wanaowakejeli single mamas nashindwa kuelewa kama wana ubinadamu na utu.
After all watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu; ni familia ngapi zinatafuta watoto usiku na mchana!
Pole sanaa
 
Salamu jamii,

Tunazaliwa tunakutana na taratibu za jamii na za mungu.

Pamoja na vijembe vya wanaume desperate na wenye chuki za kitoto na za kimaskini.

Nawaambia kweli iliyo kweli, ukipata bahati ya kuwa na mahusiano na Single Mother anaejitambua hakika hata kama hutomuoa yeye basi iwe isiwe utapenda uoe na uwe na mke.

Single Mother anaejitambua ni daraja la mafanikio kwenye maisha.

Mungu ni wetu sote

Shukrani [emoji120][emoji120][emoji120]

Wadiz
Mimi mashangazi nayo ila shida zao kubwa ni viburi,na kujiona wanaweza kila kitu
 
Una busara sana Mwenyezi Mungu amekujalia.
Mimi ni single mama but mume wangu alifariki kwa ajali ya gari baada ya kugonga lori. Aliniacha na mtoto mdogo wa mwaka mmoja na miezi 3 na sasa amekua namshukuru Mungu.
So wanaume wanaowakejeli single mamas nashindwa kuelewa kama wana ubinadamu na utu.
After all watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu; ni familia ngapi zinatafuta watoto usiku na mchana!
Pole sana rafiki yangu!
Mungu atakutoa kwenye changamoto uliyopo/ unayopitia katika namna usiyoijua!

Kama hujafunga pm ntakucheki
 
Back
Top Bottom