Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Ukiwa mfanyabishara Afrika /Tanzania kaa mbali sana makundi ya kisiasa usioneshe kufungumana na upande wa chama chochote au mtu yeyote .
Nchi zetu hizi za kiafrika bado utawala wa kidemokrasia haujakomaa kama nchi za wenzetu ambazo unaweza hata ukawa mfanyabishara wa makampuni mbali mbali na ukaonesha kumpinga au kutokumuunga mkono rais wa nchi na bado ukawa huru kuendesha shughuli zako bila vikwazo vyovyote
Kipindi Elon Musk anamuunga mkono mgombea wa chama pinzani Donald Trump , Rais alikuwa bado ni Biden lakini sikusikia bwana Elon akifanyiwa finigisu zozote
Kwa sisi wa Afrika sidhani kama tumefikia level hizo . Kwahiyo kwa mfanyabishara wa Afrika sishauri kuonesha ushabiki wa kisiasa
Nchi zetu hizi za kiafrika bado utawala wa kidemokrasia haujakomaa kama nchi za wenzetu ambazo unaweza hata ukawa mfanyabishara wa makampuni mbali mbali na ukaonesha kumpinga au kutokumuunga mkono rais wa nchi na bado ukawa huru kuendesha shughuli zako bila vikwazo vyovyote
Kipindi Elon Musk anamuunga mkono mgombea wa chama pinzani Donald Trump , Rais alikuwa bado ni Biden lakini sikusikia bwana Elon akifanyiwa finigisu zozote
Kwa sisi wa Afrika sidhani kama tumefikia level hizo . Kwahiyo kwa mfanyabishara wa Afrika sishauri kuonesha ushabiki wa kisiasa