Ukiwa mkuu wa mkoa ukijishusha haiondoi cheo chako.

Ukiwa mkuu wa mkoa ukijishusha haiondoi cheo chako.

The Lastdream

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2024
Posts
1,970
Reaction score
4,616
Ukiwa Mkuu wa mkoa ukijishusha, cheo hakiondoki

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amesema hapendezwi na wakuu wa Mikoa nchini wanaojitutumua badala ya kujishusha kwa wananchi wao ili wawatatulie kero zao.

“Ukijishusha kwa wananchi haiondoi hicho cheo chako, nawataka wakuu wa mikoa mjishushe ili mtatue kero za wananchi wa maeneo yenu, Mhe. Rais amenituma niwaambie anapendezwa na mtendaji anayekwenda kwa wananchi kuwatatulia kero zao na sio kutatua tu toeni huduma sababu Mhe. Rais ameshajenga miundombinu wezeshi za utoaji huduma zikiwemo hospitali, tusisubiri hadi Rais aje. Nakuagiza Mwenyekiti wa wakuu wa mikoa fikisha salamu hizo ule u-Mungu watu ufe”. amesema Waziri Mchengerwa

Amesema hayo leo Juni 27, 2024 jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Programu ya Uimarishaji wa Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

✍🏾 @clementsilla

👇🏾👇🏾👇🏾

View: https://www.instagram.com/p/C8uF-gdtOya/?igsh=endtMjczbWx5c2t2
 

Attachments

  • ADE750B1-7BAF-41B1-82AE-9D1898E3B701.jpeg
    ADE750B1-7BAF-41B1-82AE-9D1898E3B701.jpeg
    113.6 KB · Views: 7
Ukiwa Mkuu wa mkoa ukijishusha, cheo hakiondoki

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amesema hapendezwi na wakuu wa Mikoa nchini wanaojitutumua badala ya kujishusha kwa wananchi wao ili wawatatulie kero zao.

“Ukijishusha kwa wananchi haiondoi hicho cheo chako, nawataka wakuu wa mikoa mjishushe ili mtatue kero za wananchi wa maeneo yenu, Mhe. Rais amenituma niwaambie anapendezwa na mtendaji anayekwenda kwa wananchi kuwatatulia kero zao na sio kutatua tu toeni huduma sababu Mhe. Rais ameshajenga miundombinu wezeshi za utoaji huduma zikiwemo hospitali, tusisubiri hadi Rais aje. Nakuagiza Mwenyekiti wa wakuu wa mikoa fikisha salamu hizo ule u-Mungu watu ufe”. amesema Waziri Mchengerwa

Amesema hayo leo Juni 27, 2024 jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa Programu ya Uimarishaji wa Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.


✍🏾 @clementsilla

👇🏾👇🏾👇🏾

View: https://www.instagram.com/p/C8uF-gdtOya/?igsh=endtMjczbWx5c2t2

Katika wakuu wa mikoa waliojisha kwa wananichi wake ni makonda maana kashuka Hadi chini kabisa kwa mwananchi mmoja mmoja na kumsikiliza
 
Katika wakuu wa mikoa waliojishu kwa wananichi wake ni makonda maana kashuka Hadi chini kabisa kwa mwananchi mmoja mmoja na kumsikiliza
Hivi wale aliosema wanauza madawa ya kulevya iliishia wapi? Na wale wamama aliowakusanya masingle maza iliishia wapi? ILA makonda Arusha anapiga kazi sahivi kaacha utoto
 
Hivi wale aliosema wanauza madawa ya kulevya iliishia wapi? Na wale wamama aliowakusanya masingle maza iliishia wapi? ILA makonda Arusha anapiga kazi sahivi kaacha utoto
Kuna watu wapo jera mpaka Leo kwasababu ya hiyo biashara na ndo alifanya hiyo tume ya madawa ya kulevya kuwa active mpaka leo
 
Tena usigoogle pitia humuhumu jf taarifa za nyuma kwa haraka Kuna Shamim na mme wake Yanga omari na wengine wengi ndio maana Kasi ya mateja ilipungua sana
Wewe ndugu unaishi wapi? Hivi kipindi yupo madarakani ulikuwa unapita pale jangwani? Muulize babuu Omari, hizo propaganda umezitoa wapi kwamba walipungua?
 
Kuna watu wapo jera mpaka Leo kwasababu ya hiyo biashara na ndo alifanya hiyo tume ya madawa ya kulevya kuwa active mpaka leo
Hivi active gani unayosema ndugu yangu? Hujafika mburahati? M/nyamala visiwani? Jangwani? Kigogo? Hivi active gani unayoisema mkuu?
 
Back
Top Bottom