Hilo eneo nalifaham vizuri labda wewe utakuwa ulianza kupita hapo baada ya makonda kuwa mkuu mkoaWewe ndugu unaishi wapi? Hivi kipindi yupo madarakani ulikuwa unapita pale jangwani? Muulize babuu Omari, hizo propaganda umezitoa wapi kwamba walipungua?
Kwasasa ilaumiwe tume inayoshughulika na Mambo hayoHivi active gani unayosema ndugu yangu? Hujafika mburahati? M/nyamala visiwani? Jangwani? Kigogo? Hivi active gani unayoisema mkuu?
haya yalishapita mkuu ...mjudge kwa utendaji wake wa sasa, ameshamature wakati huu. " In order to be old and wise, sometimes you should first be young and stupid"kujishusha ni pamoja na kupiga wazee wa makamo ya warioba na kuingia na bunduki kwenye vyombo vya habari
Kama unalifahamu vzuri unamfahamu babuu omari? Kwanini alionekana msimbazi pale akiwa na makonda tena kantini za Polisi?Hilo eneo nalifaham vizuri labda wewe utakuwa ulianza kupita hapo baada ya makonda kuwa mkuu mkoa
hapa nakubaliana na wewe, sasahiv anachapa kazi, lakini kusema kwamba alipokuwa dar alikuwa anachapa kazi, zile zilikuwa Kiki tu. ILA kwa sasa makonda anachapa kazihayacyalishapita mkuu ...mjudge kwa utendaji wake wa sasa, ameshamature wakati huu. " In order to be old and wise, sometimes you should first be young and stupid"
Kweli kabisa Mkuuhapa nakubaliana na wewe, sasahiv anachapa kazi, lakini kusema kwamba alipokuwa dar alikuwa anachapa kazi, zile zilikuwa Kiki tu. ILA kwa sasa makonda anachapa kazi
siyo kwa Sasa, hiyo tume ni kama takukuru huwa wanafanya kazi kwa maagizo tu.Kwasasa ilaumiwe tume inayoshughulika na Mambo hayo
Ni makonda tu huyo......Mwenyekit wa wakuu wa mikoa ni Nani?
Hapana, Makonda kajifaragua kuwa yeye anaishi maisha ya juu sana, kamtambia mpaka mwananchi mwanamke kwamba yeye ana mke mzuri sana akimaanisha huyo mwanamke si mzuri.Hakuna mkuu wa mkoa aliyejishusha mpaka kwenye nyayo za wananchi kama makonda
Ni majangili ndiyo maanaKwa maneno matamu miCCM haina mpinzani,utadhani vinywa vimeundwa kwa mabuyu ya asali.Ila utekelezaji 0.
Watu wanapata hizi nafasi kwa ushirikina na rushwaThibitisha kama ni waoπππππ ila Chalamila ana mtindio wa akili. Binafsi sijaona sababu wala Umuhimu wa Chalamila kuwa RC. Kichwa kile kipo empty kabisa.
Muulize Babu Omar pengine alikuwa anahojiwaKama unalifahamu vzuri unamfahamu babuu omari? Kwanini alionekana msimbazi pale akiwa na makonda tena kantini za Polisi?
Ni sahihi, inaskkitisha sana. Nilimuonaga anamshika matako yule binti pale Iringa kwa Nelly nyamachoma mchana kweupeeeee. Nilimdharau na kuidharau sana system yetu ya kumpa u RC mtu kama yule.Watu wanapata hizi nafasi kwa ushirikina na rushwa