ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mtu akiwa na vyake na ukataka uvitumie na wewe vyako vikitumiwa kaa kimya. Nikiwa na maana kwamba kama unamsema mtu kwa mwingine yaani unapeleka umbea basi na Wewe ukisemwa utulie msumari ukuingie.
Kama mtu ni mpumbavu mwache ale maisha yake, wewe mwerevu usimseme starehe zako umelewa ndo unatoa maneno mengi kwa sababu ya pombe.
Sisi tutakusaport tu ila saa pombe ikiisha utapata aibu.
Kama mtu ni mpumbavu mwache ale maisha yake, wewe mwerevu usimseme starehe zako umelewa ndo unatoa maneno mengi kwa sababu ya pombe.
Sisi tutakusaport tu ila saa pombe ikiisha utapata aibu.