Ukiwa mtaani au kwenye mikusanyiko ya kijamii unajihisi huru kutoa maoni yako juu ya mambo mbalimbali nchini?

Ukiwa mtaani au kwenye mikusanyiko ya kijamii unajihisi huru kutoa maoni yako juu ya mambo mbalimbali nchini?

Nje ya jukwaa hili je, uko huru kujimwaga kutoa maoni yako kwa kuzingatia kuwa huvunji sheria?
kwingine kwanza ni Lazima uangalie mbele, then nyuma, kushoto na kulia then ukiona salama unaweza kujiachia kutoa maoni kwa Uhuru kabisa.

Kwa ufupi nje ya Jamii forum kutoa Uhuru wa kutoa maoni upo kama kuvuka barabarani ya njia nane.
Lazma uwe makini, ukizembea unapotea
 
Uhuru hakuna hasa ukitoa maoni ambayo yako kinyume na watawala, na ndio maana unaona tume jichimbia huku jamiiforums ambako unaweza kutoa maoni kwa kadri unavyo penda japo haya wafikii moja kwa moja watawala
 
Unafanyaje ili haki yako hii isibaki kwenye makaratasi?
Nikifanya kile ninacho kifikiria, basi familia yangu itateseka na watoto wangu wataishi maisha magumu kisha mimi nitaozea gerezani na hakuna atakae baki kupaza saiuti na kutoa msaada kwenye familia yangu.
R.i.P Mawazo....😥
R.i.P Ben...😪
 
Back
Top Bottom