Naona hata avatar yako ipo outing [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa natoka out tu bila shida
Kuna sehemu zao maalumWasalaam!
Nimewaza kitu.
Ukiwa kiongozi mkubwa serikalini (top layer) na wewe ni mtumiaji wa vilevi ama mla bata sana, unafanyaje kuenjoy ?
Unaletewa home au unatoka out kwa usiri mkubwa sana ?
Sent using Jamii Forums mobile app