Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hao ndio Watanzania, ukiwa mtumishi wa umma wanatarajia wakuone umepark ndinga kali kali uani mwako, uwe na mjengo wa haja , vimichango vya misiba na sherehe unatoa parefu hapo ewaaah watasema una akili bila kujua malipo yako halali ni Shilingi ngapi.
Hao hao baadaye wanasema nchi imejaa mafisadi huku watumishi waadilifu au watumishi wasiopata mwanya wa wizi wanawadharau kuwa wako serikalini lakini hawana maajabu.
Hao hao baadaye wanasema nchi imejaa mafisadi huku watumishi waadilifu au watumishi wasiopata mwanya wa wizi wanawadharau kuwa wako serikalini lakini hawana maajabu.