GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Sawa, nashukuru.Umeajiliwa, inamaanisha ukitaka kwenda masomoni ni either mwajiri anakusomesha au unaomba mwenyewe kwa mwajiri ukajisomesha kwa gharama zako ( hapa ni kwamba unakubali kwamba unajiweza), mpk kufikia hapo utakua umepata jibu
Huwezi kupata mkopo kiufupi kama ni mwajiliwa.
Sawa sawa. NitajaribuInawezekana kabisa majamaa zangu wengi watumishi na wanakunja na pesa ya bodi vizuri tu bila shida
Bodo wanadai mtumishi anajiengua anakosa sifa ya kukopeshwa lakini awana system itakayo tambulisha waombaji ambao ni watumishi kwaiyo usisikilize sheria za bodi azitekelezeki tupo vibaya kwenye database zetu
Utajaribu au atajaribu.Sawa sawa. Nitajaribu
Da hastla mwanangu wa karakana auUtajaribu au atajaribu.
Karakana ipi mkuuDa hastla mwanangu wa karakana au
SingidaKarakana ipi mkuu
Sijawahi hata kufika zaidi ya kupita na bus tu nikipataga safari za lake zone.Singida
Poa aisee nina mwanangu anajiita da hustla hata fb yupo cha ajabu mpk profile picture ameweka kama ya kwako hiiSijawahi hata kufika zaidi ya kupita na bus tu nikipataga safari za lake zone.
Coincidence tu mkuu, fb yenyewe nimetumia mara ya mwisho 2012 na nilikua natumia jina langu na profile picha yangu halisi.Poa aisee nina mwanangu anajiita da hustla hata fb yupo cha ajabu mpk profile picture ameweka kama ya kwako hii