tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Daruso, silaha kubwa ya kumalizana imekuwa ni kuhusisha wagombea fulani na U-CCM. Inaonekana wazi kwamba katika siasa za vyuo hasa UDSM ni usaliti na kukosa uzalendo.