Ukiwa mwanasiasa ni kosa kuidai Katiba Mpya?

Ukiwa mwanasiasa ni kosa kuidai Katiba Mpya?

4everfreed

New Member
Joined
Feb 21, 2024
Posts
1
Reaction score
0
CCM:wanaodai katiba mpya ni wanasiasa ili waingie madarakani. Wapinzani:CCM wanabaki madarakani kwa kwa kutumia katiba hoi mbovu.

Sasa swali ni je,kuwa upinzani kunawaondolea haki ya kuwa kundi muhimu kudai katiba mpya?

Je, wanasiasa wanaopinga uwepo wa katiba mpya kwa nini wajipe umuhimu?
 
Back
Top Bottom