JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Nina mda sasa natumia simu zangu bila kuweka kava yani inafika wakati naona kama kuweka kava ni ushamba flani.
Imagine watu wamekaa Apple huko wame design product yao wamekubaliana na muonekano wake wameamua kuachia kitu na raia wamekielewa alafu anakuja mtu anaweka kava yani inaondoa mantik nzima ya design ya simu.
Zamani nilikuwa na woga kwamba nikitumia simu bila kava itachakaa mapema lakini nimegundua kuwa hata simu ikiwa na kava pia inachakaa so nikaona kuweka kava ni dalili ya umaskini nikaachaga.
Sikuhizi nikiona mtu kaweka simu kava namuona kama wale wabibi wa zamani wanaonunua kochi alafu wanaweka vitambaa ili kochi lisichafuke au wale wabibi wa marekani wananunua kochi kisha wanafunika na kava la plastic ili lisichakae.
Kama unapenda bidhaa enjoy kama ilivyo. Nikiona mtu ana kava kwenye simu namuona kama mtu aliyetoka kijijini yani wakuja
Imagine watu wamekaa Apple huko wame design product yao wamekubaliana na muonekano wake wameamua kuachia kitu na raia wamekielewa alafu anakuja mtu anaweka kava yani inaondoa mantik nzima ya design ya simu.
Zamani nilikuwa na woga kwamba nikitumia simu bila kava itachakaa mapema lakini nimegundua kuwa hata simu ikiwa na kava pia inachakaa so nikaona kuweka kava ni dalili ya umaskini nikaachaga.
Sikuhizi nikiona mtu kaweka simu kava namuona kama wale wabibi wa zamani wanaonunua kochi alafu wanaweka vitambaa ili kochi lisichafuke au wale wabibi wa marekani wananunua kochi kisha wanafunika na kava la plastic ili lisichakae.
Kama unapenda bidhaa enjoy kama ilivyo. Nikiona mtu ana kava kwenye simu namuona kama mtu aliyetoka kijijini yani wakuja