Ukiwa na mahusiano na nurse (nesi) uwe na moyo mgumu

ha ha ha suluhisho ni kuoa polygon tu,ili baharia akimtazama asitamani tena kumgeukia
 
mahusiano hayajawahi kumuacha mtu salama...kikubwa usiishi kwa kukalili kuwa manesi ni wabaya mbaya ni mtu na sio kazi..yake kuna manesi wazuri wenye tabia nzuri tu na wametulia pia...hivyo kazi haiwezi kufanya utuaminishe kuwa manesi wote tabia yao ni moja...kuna walimu pia wanaliza watu...kuna ma hr wanaliza pia nazani sio kazi bali ni watu tu na tabia zao mbovu mbovu
 
Mkuu za siku ??
 
Body body body

Bedroom remix mmeisikia?
 
Naunga mkono hoja mkuu. Watu wanaongea utafikiri mapenzi yanafanywa usiku tuu. Kwamba kwa sababu nesi yupo night shift basi analiwa, ila mwalimu sababu unalala nae usiku basi haliwi. Kwani kuwepo vitanda wodini ndo Nini??..vitanda huwa vipo wodini tu??..
Labda mtu anishawishi kwamba masomo ya nursing yanawataka manesi kuwa Malaya automatically, la sivyo hoja yenu dhaifu Sana. Kifupi ofisi karibu zote watu wanakuwa na mahusiano, iwe ni mke wa mtu au mme wa mtu haijalishi, chunguza utaona.
Kifupi ukiamua kuoa jiandae kwa lolote; awe mama wa nyumbani au mfanyakazi Kama ana tabia hiyo umeumia. Wauza mikaa, ma houseboy, wauza genge n.k wanakula Sana mama wa nyumbani so Omba tu Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ni prone kuwa cheated na mpenzie.Tunasema Kuna kada fulani ambayo ina mpa uhuru sana kucheat.
 
Nipo kotekote mimi kama mshambuliaji nafunga magoli kwa mguu wa kulia,kushoto na kichwa.
kumbe hata mm sikujua km ni mzoefu na maisha hata huku upo?
swali nje ya mada vp Mabaharia eti wana nyumba ndogo kila port au wanasafiri nao
ni kweli? wakiwakamata stow away wanawashughulikia?
 
AHSANTE KWA KULIONA HILO MKUU,,,nadhani watu hapa WANAJIFARIJI KWA KUWATUPIA LAWAMA MANURSE,,,wamesahau KWAMBA WANAWAKE WOTE WANA TABIA ZAINAZOFANANA....pia Nina mfano HAI,,,nimekuwa NIKIWAGEGEDA WAKE ZA WATU,,tena ni WAFANYAKAZI huko MJINI,,,na MARA KIBAO WAUME ZAO WANAMPIGIA SIMU,,,MKEWE YUPO KWANGU TENA KALIKALIA DUSHE ,,anamjibu MUMEWE YUPO KWA BOSS,,,atamcheki BAADAE...MWANAMKE AKITAKA LAKE HASHINDWI...akitoka hapo ANARUDI OFISINI,,AU HOME...KISHALIWA.,TENA NAGEGEDA HASWA,,SINA MASIHARA KWENYE SEKTA YA KUGEGEDA, ..MSIWAONEE NURSE BURE.....ukweli MCHUNGU....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikatai hoja yako mkuu, lakini namashaka na hiyo ofisi. Muda wa kazi we unamgegeda, basi ofisi nyingine nzuri sana. Ziko loose mno, mtu anatoka at any time

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikatai hoja yako mkuu, lakini namashaka na hiyo ofisi. Muda wa kazi we unamgegeda, basi ofisi nyingine nzuri sana. Ziko loose mno, mtu anatoka at any time

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi MKUU MFANYAKAZI HAUMWI?MFANYAKAZI HANA EMERGENCY? hivi kama MKEO KAZINI HAJAFIKA WEWE utahakikisha vipi kama KAFIKA AU HAJAFIKA KAZINI ?AU ANA EMERGENCY?NI WANAWAKE WANGAPI WANATOKA KAZINI wanakuwa kwenye MAREJESHO YA VIKUNDI?HUO MUDA UNATOKA WAPI?MKUU Mimi nishakuwa nao,,,WAALIMU NA HATA HAO WAAOFISINI...kuna JAMAA ALIKUWA ANAMSHUSHA MKEWE SHULE NA GARI..jioni ANAMPITIA KURUDI NYUMBANI..basi AKIMSHUSHA MWALIMU ataingia SHULE,,ana sign BAADAE ANAKUJA KWANGU,,, SAA kumi ANAKUWA maeneo ya shule ,,MUMEWE SAA kumi na moja ANAMPITIA kurudi HOME,,,jamaa hajashtuka hata Mara moja.....NIMEGEGEDA MWAKA MZIMA,,YUPO MWANAMKE mwingine ANAKAA NYUMBA JIRANI,NILIKUWA NAMGEGEDA,,,,SAA KUMI NA MOJA anatoka ANAINGIA KWANGU..jioni SAA MOJA anachomoka KURUDI KWAKE,, KUMBE KAZINI ANA OFF MUMUWE HAJUWI..mkuu WANAWAKE WANA MBINU BALAA....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MCHEZA KAMARI Pole sana inaonekana ulikuwa una mpenda sana. Ila msamehe give her second chance atabadilika huwezi jua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…