Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
Mwanaume akifikisha miaka 45 hadi 50 hapo kibongo bongo walio wengi ndo angalau huwa yuko vizur kimaisha na hii ni kutokana na changamoto za maisha tunazokutana nazo kwenye maisha katika kujipanga na kujiweka sawa kimaisha...

Ila kama hauna hata haka na uko na miaka 45 hadi 50 hapo inabidi kujitafakari upyaa ni wakati wa kuamka toka usingizini.....
Asikuambie mtu kuwa mwanaume sio jambo dogo na jepesi hata kidogo[emoji848][emoji848]
View attachment 2078457View attachment 2078458View attachment 2078455
 
Naam kwa mawazo haya ndio maana vifo vya kuuana vimezidi ni mwendo wa mashindano na watu kutokuridhika Anything goes until the end is met.

Yaani ni heri punda afe ili mzigo ufike.... Tatizo kubwa la hili ni watu kuzidi kupata msongo wa mawazo; The Future is Scary.
 
Watu wanapenda short cut sana
 
watu wanapenda short cut sana
Na kwa maisha ya Facebook na instragram (kuangalia status na watu wamepost nini) au kuangalia jirani au fulani kafanya nini ni mawili tu either kufanya liwalo na liwe au kupata msongo wa mawazo.

Na hili kwa kizazi hiki na kizazi kijacho litawatafuna sana.

Maisha ni kuishi kile kitu roho inapenda kama unapenda upate kitu fulani pambana ukipate (ila hakikisha target yako ni within your means), ila aghlabu usilazimishe sababu Jamii inayokuzunguka inataka ufanye nini au ufikie kiwango gani (yatakuwa maisha ya kufurahisha watu na sio kujifurahisha)

Ila Makazi ni Basic Human need ya kila mmoja nadhani huko tunakoelekea utaanza mfumo wa mortgage na affordable housing.... (mhhh Thinking again tulikuwa nao na ndio huo National Housing tuliyogeuza imekuwa beyond affordability)
 
hiyo ndiyo point makazi ni basic need haijalishi ipoje ni vzr ukiwa na kwako kwa kupumzika
 
hiyo ndiyo point makazi ni basic need haijalishi ipoje ni vzr ukiwa na kwako kwa kupumzika
Naam kila mtu anastahili kuwa na sehemu ya kujihifadhi..., zamani nyumba ilikuwa asset ukimaliza, unasahau sasa hivi nyumba inaweza ikawa inakufilisi (maintanance n.k.) na kama sio mzee haujastaafu kuna tozo za kodi na sasa hivi mijini itafika wakati bila kuanzia ghorofa au aina fulani ya nyumba hupewi permit ya kujenga kwahio unaenda kujenga hukoooo in the middle of nowhere...

In short mfumo ninaouna unakuja ni mfumo wa mortgage (developers wanajenga nyumba za viwango sehemu nyingine hata ghorofa alafu watu mnapewa mortgage ya kununua hizo nyumba..., siku mkizeeka au vipi mnaziuza sababu hata kumuachia ndugu yako itabidi alipie inheritance tax na kama hajastaafu inabidi alipia kodi ya jengo (hapo kama hapangishi unakuwa haujamiachia asset bali liability)

In short mambo yanakwenda kwa kasi sana....
 
Mkuu kwanini umechukulia kuwa nyumba ndio kipimo cha kujitafakari?

Inabidi tuanze kubadili mitazamo yetu sasa. Hivi unajua kuna matajiri wengi sana na ni matajiri haswa ila wananing'inia kwenye magorofa tu ya msajili na nyumba za watu masaki na wana maisha bora mara 1000 yako?
 
๐€๐œ๐ก๐ข๐ฅ๐ข๐š ๐ฆ๐›๐š๐ฅ๐ข ๐ก๐š๐ค๐จ ๐ค๐š๐š๐ฃ๐ข๐ซ๐š ๐ค๐š๐ค๐จ ๐ง๐š ๐ค๐ฎ๐ข๐ง๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐š ๐ฐ๐š๐ณ๐š๐ณ๐ข,
๐ข๐ง๐ ๐ž๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ฐ๐ž๐ฐ๐ž ๐ค๐š๐ญ๐ข๐ค๐š ๐ฎ๐ฆ๐ซ๐ข ๐ก๐ฎ๐จ ๐ฎ๐ง๐ ๐ž๐ค๐ฎ๐ฐ๐š ๐ก๐š๐ญ๐š ๐ง๐š ๐›๐š๐ข๐ฌ๐ค๐ž๐ฅ๐ข,
Maisha usiyachukulie simple bwana ndogo, Kila mtu na namna alivyo pangiwa na Mungu, kuna watu usiku kucha wanafanya kazi za kuhatarisha maisha yao lakini bado maisha hayajawanyookea,
acha kushiba na kumtukana mwenye njaa kwa kusema ni upumbavu wake
 
[emoji848][emoji848]hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ