Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Ukiwa na miaka 45 bila nyumba jitafakari

Mkuu hapa tunawazungumzia WAFANYABIASHARA wakubwa, sio sisi wa hapa na pale, yaani middle class na lower class. MATAJIRI hawajengi kaka, tunao jenga ni sisi wafanyakazi na wafanyabiashara wa kawaida.
Hizi ni story tu. Mo anakaa nyumba ya kupanga? Tamil(rip) alikuwa anakaa nyumba ya kupanga? Mengi(rip) hakuwa na nyumba? SSB na watoto wake wana majumba ya kuishi Masaki,obay,mikocheni. Matajiri gani wakubwa hawana nyumba?
 
Kila jambo na wakati wake mwisho wa siku yote haya ni Ubatili na kujilisha Upepo.
 
Back
Top Bottom