Ukiwa na mtaji mdogo usifanye biashara ya kusubiri mteja, Fanya biashara ya kutafuta mteja

Ukiwa na mtaji mdogo usifanye biashara ya kusubiri mteja, Fanya biashara ya kutafuta mteja

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Watu wengi wanafirisika biashara Kwa kufuata mkumbo wa kufungua maduka, bar, vibanda n.k
Yaani mtu una million 2 au 3 unachukua mzigo wa kuweka dukani?
Ndugu utalia sana aisee,

Vijana wanatoka vyuo wanapewa mtaji na wazazi wanakimbilia kufungua boutiques, sijui bar, n.k na mtaji umepewa million3 tutaishia kulia na kulipa Kodi TRA, jiji, frem, walinzi n.k
Tafuta mteja Kwa bidii ndo umletee bidhaa anayohitaji

Au ndo umepata sijui laki 4 unakimbilia kufua biashara ya matunda yatakuozea utalia sana.

Biashara na wateja wa siku hizi sio wa kwenda madukani, sijui sokoni au mgahawani kula Kwa mama ntilie watu wanapenda wapelekewe huduma hapo walipo

Kwa mfano kama unauza chakula pita sehemu watangazie au mitandao tangaza pata oda pika chakula kutokana na wateja wa siku hiyo, na siyo upike kg 50 za Michele hujui atakula nani, tutaishia kumwaga tu mavyakula yako

Kama unauza mavazi tafuta njia ya kutafuta watu wa kukuagiza niletee nguo A B C ndo uende kariakoo uchukue mzigo unaohitajika Kwa wateja, utauza na mzigo unakwisha na faida unaiona,
Sio unaamka unalangua manguo ambayo hatujui atayanunua nani, utapigwa dolo upauke

Jitahidi kutangaza biashara na kuchukua oda ya mzigo kabla ya kulangua ili kulinda mtaji usifirisike

Kwa wenye mitaji mikubwa kama millions 50 hao sawa kuagiza mzigo hata kama hana oda ni rahisi kubali sokoni na kupambana maana ana mabavu ya kutosha.
 
Watu wengi wanafirisika biashara Kwa kufuata mkumbo wa kufungua maduka, bar, vibanda n.k
Yaani mtu una million 2 au 3 unachukua mzigo wa kuweka dukani?
Ndugu utalia sana aisee,

Vijana wanatoka vyuo wanapewa mtaji na wazazi wanakimbilia kufungua boutiques, sijui bar, n.k na mtaji umepewa million3 tutaishia kulia na kulipa Kodi TRA, jiji, frem, walinzi n.k
Tafuta mteja Kwa bidii ndo umletee bidhaa anayohitaji

Au ndo umepata sijui laki 4 unakimbilia kufua biashara ya matunda yatakuozea utalia sana.

Biashara na wateja wa siku hizi sio wa kwenda madukani, sijui sokoni au mgahawani kula Kwa mama ntilie watu wanapenda wapelekewe huduma hapo walipo

Kwa mfano kama unauza chakula pita sehemu watangazie au mitandao tangaza pata oda pika chakula kutokana na wateja wa siku hiyo, na siyo upike kg 50 za Michele hujui atakula nani, tutaishia kumwaga tu mavyakula yako

Kama unauza mavazi tafuta njia ya kutafuta watu wa kukuagiza niletee nguo A B C ndo uende kariakoo uchukue mzigo unaohitajika Kwa wateja, utauza na mzigo unakwisha na faida unaiona,
Sio unaamka unalangua manguo ambayo hatujui atayanunua nani, utapigwa dolo upauke

Jitahidi kutangaza biashara na kuchukua oda ya mzigo kabla ya kulangua ili kulinda mtaji usifirisike

Kwa wenye mitaji mikubwa kama millions 50 hao sawa kuagiza mzigo hata kama hana oda ni rahisi kubali sokoni na kupambana maana ana mabavu ya kutosha.
Point
 
Watu wengi wanafirisika biashara Kwa kufuata mkumbo wa kufungua maduka, bar, vibanda n.k
Yaani mtu una million 2 au 3 unachukua mzigo wa kuweka dukani?
Ndugu utalia sana aisee,

Vijana wanatoka vyuo wanapewa mtaji na wazazi wanakimbilia kufungua boutiques, sijui bar, n.k na mtaji umepewa million3 tutaishia kulia na kulipa Kodi TRA, jiji, frem, walinzi n.k
Tafuta mteja Kwa bidii ndo umletee bidhaa anayohitaji

Au ndo umepata sijui laki 4 unakimbilia kufua biashara ya matunda yatakuozea utalia sana.

Biashara na wateja wa siku hizi sio wa kwenda madukani, sijui sokoni au mgahawani kula Kwa mama ntilie watu wanapenda wapelekewe huduma hapo walipo

Kwa mfano kama unauza chakula pita sehemu watangazie au mitandao tangaza pata oda pika chakula kutokana na wateja wa siku hiyo, na siyo upike kg 50 za Michele hujui atakula nani, tutaishia kumwaga tu mavyakula yako

Kama unauza mavazi tafuta njia ya kutafuta watu wa kukuagiza niletee nguo A B C ndo uende kariakoo uchukue mzigo unaohitajika Kwa wateja, utauza na mzigo unakwisha na faida unaiona,
Sio unaamka unalangua manguo ambayo hatujui atayanunua nani, utapigwa dolo upauke

Jitahidi kutangaza biashara na kuchukua oda ya mzigo kabla ya kulangua ili kulinda mtaji usifirisike

Kwa wenye mitaji mikubwa kama millions 50 hao sawa kuagiza mzigo hata kama hana oda ni rahisi kubali sokoni na kupambana maana ana mabavu ya kutosha.
Umenikimbusha marehemu mama angu alinipa mtaji wa sh 50,000 mwaka 1999, nilijifunza mengi biashara ni nini na pesa ni kitu gani, huo mtaji ndo nimejengea maisha yangu mpaka kuende nje ya nchi kuzamia, rest in peace my beloved mom, your passion en love cant be subsituted with any one.
 
Mkuu, biashara haina formula moja,
Kwa hio mtu akifungua duka la dawa nalo apite anatangaza ?

Akifungua duka la vifaa vya umeme apite anatangaza ?

Au wote tuwe wapishi tuwe tunapika tunachojua atakula nani?
Nimekwambia zingatia mtaji wako mkuu
 
Shit tupu umeongea 1M kushuka chini ndo wanastahili hiyo kitu 3M uanze kuzunguka na mzigo wa million tatu kutafuta wateja haya wateja wakielewa bizaa wanakupata wapiii mteja anaamini katika ofisi kwasbb anajua hata akinunua kitu kikiwa kizurii au kibaya anajua wapi kwa kukupata
 
Mkuu, biashara haina formula moja,
Kwa hio mtu akifungua duka la dawa nalo apite anatangaza ?

Akifungua duka la vifaa vya umeme apite anatangaza ?

Au wote tuwe wapishi tuwe tunapika tunachojua atakula nani?
Na akifungua nyama choma au kijiwe cha pweza atembeze mtaani.
 
Watu wengi wanafirisika biashara Kwa kufuata mkumbo wa kufungua maduka, bar, vibanda n.k
Yaani mtu una million 2 au 3 unachukua mzigo wa kuweka dukani?
Ndugu utalia sana aisee,

Vijana wanatoka vyuo wanapewa mtaji na wazazi wanakimbilia kufungua boutiques, sijui bar, n.k na mtaji umepewa million3 tutaishia kulia na kulipa Kodi TRA, jiji, frem, walinzi n.k
Tafuta mteja Kwa bidii ndo umletee bidhaa anayohitaji

Au ndo umepata sijui laki 4 unakimbilia kufua biashara ya matunda yatakuozea utalia sana.

Biashara na wateja wa siku hizi sio wa kwenda madukani, sijui sokoni au mgahawani kula Kwa mama ntilie watu wanapenda wapelekewe huduma hapo walipo

Kwa mfano kama unauza chakula pita sehemu watangazie au mitandao tangaza pata oda pika chakula kutokana na wateja wa siku hiyo, na siyo upike kg 50 za Michele hujui atakula nani, tutaishia kumwaga tu mavyakula yako

Kama unauza mavazi tafuta njia ya kutafuta watu wa kukuagiza niletee nguo A B C ndo uende kariakoo uchukue mzigo unaohitajika Kwa wateja, utauza na mzigo unakwisha na faida unaiona,
Sio unaamka unalangua manguo ambayo hatujui atayanunua nani, utapigwa dolo upauke

Jitahidi kutangaza biashara na kuchukua oda ya mzigo kabla ya kulangua ili kulinda mtaji usifirisike

Kwa wenye mitaji mikubwa kama millions 50 hao sawa kuagiza mzigo hata kama hana oda ni rahisi kubali sokoni na kupambana maana ana mabavu ya kutosha.
Huu ndiyo uwinga

Wacha kuwatisha vijana, biashara inahitaji risk takers,, mtu ajilipue
 
Back
Top Bottom