Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Huyo ni chuma ulete, hela anataka ila mbususu ataki kutoa, hapo unatumika kama sio kupigwaKumbeee...nimejifunza demu akikuomba hela hakupendi. Dah anywas wacha niende nae hivyo hivyo maana kila baada ya siku mbili bby naomba hela alafu yeye mbususu hatoi
Anakupenda, pesa ya mpenzi wako ni tamu Sana😀Kumbeee...nimejifunza demu akikuomba hela hakupendi. Dah anywas wacha niende nae hivyo hivyo maana kila baada ya siku mbili bby naomba hela alafu yeye mbususu hatoi
Mimi nina huyo wa babe naomba hela. Changamoto niliyo nayo mbususu ananipa mara moja moja sana kwa mwezi ananipea mara 3 tu ila ananipa shoo nzuri sijawahi ona. Nipe ushauri mwanawaneKumbeee...nimejifunza demu akikuomba hela hakupendi. Dah anywas wacha niende nae hivyo hivyo maana kila baada ya siku mbili bby naomba hela alafu yeye mbususu hatoi
Kizazi kinapenda vya bure Sana hiki!Tutaingia tutatoka maisha yanaendelea kama kawaida😅
150K x 10= 1.5mHao wanaoomba kodi ya chumba sijui apartment ndo wabaya sana hao
Utakuta hiyo meseji katuma kwa mabwana zake hata watano.
Mwisho wa wiki anafunga hesabu zake
Pesa ngumu. Nyie mnaingiza pesa nyingi sana hebu fikiria mrembo ana mabwana watano hadi kumi kwa mjini hapa si anaishi vizuri tuKizazi kinapenda vya bure Sana hiki!
Wanatunyonya sana hawa viumbe. Wanapiga sana hela na hapo kwenye shoo bado anataka umuandae150K x 10= 1.5m
Akikosa kosa sana ana 1m, haya nimeyashuhudia sio siasa.
Mtaji tosha
Mabwana wenyewe Wanatoa hizo hela Sasa? Ubahili wamuachie Nani?Pesa ngumu. Nyie mnaingiza pesa nyingi sana hebu fikiria mrembo ana mabwana watano hadi kumi kwa mjini hapa si anaishi vizuri tu
Hakuna namna lazima ufanye hivyo, kila kitu ni gharama lazima ugharamikeWanatunyonya sana hawa viumbe. Wanapiga sana hela na hapo kwenye shoo bado anataka umuandae
Mmmh, acha uvivuWanatunyonya sana hawa viumbe. Wanapiga sana hela na hapo kwenye shoo bado anataka umuandae
Bwanee wanaume tunavyopenda mbususu. Kichupa kikijaa na kichwa cha chini kinataka tamu huwa tunahonga tu tukishamaliza mchezo ndo akili inarudiMabwana wenyewe Wanatoa hizo hela Sasa? Ubahili wamuachie Nani?
Tatizo sasa mbona mbususu anabania mie nataka utelezi kwa wingi bwana. Tena ile rough sexAnakupenda,pesa ya mpenzi wako Ni tamu Sana😀
🤣🤣🤣 uvivu gani sasa?Mmmh, acha uvivu
Wewe utavishwa taji mbinguni!Hakuna namna lazima ufanye hivyo, kila kitu ni gharama lazima ugharamike
Mnaanza kushangaaBwanee wanaume tunavyopenda mbususu. Kichupa kikijaa na kichwa cha chini kinataka tamu huwa tunahonga tu tukishamaliza mchezo ndo akili inarudi
Mwanawane anakupaje mara tatu kwa mwezi bwana inabidi kidume uwe unapata mara tatu kwa wiki ujue.Mimi nina huyo wa babe naomba hela. Changamoto niliyo nayo mbususu ananipa mara moja moja sana kwa mwezi ananipea mara 3 tu ila ananipa shoo nzuri sijawahi ona. Nipe ushauri mwanawane
Unataka ile value for money. Makorokoro yote yawepo brutal and rough sexTatizo sasa mbona mbususu anabania mie nataka utelezi kwa wingi bwana. Tena ile rough sex
Tatizo una haraka, jitulize!Tatizo sasa mbona mbususu anabania mie nataka utelezi kwa wingi bwana. Tena ile rough sex
Ndio maana yake mkuu....yaani full raha hapo ata hela unayotumaga unasahauUnataka ile value for money. Makorokoro yote yawepo brutal and rough sex
We cheka tu🤣🤣🤣 uvivu gani sasa?