Ukiwa na mwanamke Tanzania, gharama utakazoingia kwa mwezi mmoja tu ni bodaboda mbili

Ukiwa na mwanamke Tanzania, gharama utakazoingia kwa mwezi mmoja tu ni bodaboda mbili

Wewe hukumpenda yaani unasusa kisa umepewa elfu tano[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Afu ukiomba sio lazima upewe madam,,,,,,au nyie mnadhani ni lazima mpewe???
Nisingekaa nae miaka 2 kama sikumpenda iyo 5000 ilijumuisha na mengine yooote aliyokua anajiongelesha na utekelezaji zero nilichoka na nikahisi asije kua ni aina ya wanaume wakioa wanategemea mama ndo audumie familia, hicho ndo nilihofia. Sijui kitega uchumi changu ndo sababu akaona labda nashika visent ko sijitaji kutoka kwake.
 
Nisingekaa nae miaka 2 kama sikumpenda iyo 5000 ilijumuisha na mengine yooote aliyokua anajiongelesha na utekelezaji zero nilichoka na nikahisi asije kua ni aina ya wanaume wakioa wanategemea mama ndo audumie familia, hicho ndo nilihofia. Sijui kitega uchumi changu ndo sababu akaona labda nashika visent ko sijitaji kutoka kwake.
Labda na yeye alikua anakupima ndio maana miaka yote hiyo hakutaka kuwekeza kwako kwa kuhofia hasara....Unajua sisi wanaume mpaka kuwekeza kwa mwanamke kihisia inaweza chukua miaka kumi....Afu jinsi tulivyo waga tunahonga sana makahaba kuliko wapenzi wetu wa ndani....Sijui tumelogwa na nini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 But ungemvumilia ru na mapungufu yake au mngekaa chini mzungumze
 
Nisingekaa nae miaka 2 kama sikumpenda iyo 5000 ilijumuisha na mengine yooote aliyokua anajiongelesha na utekelezaji zero nilichoka na nikahisi asije kua ni aina ya wanaume wakioa wanategemea mama ndo audumie familia, hicho ndo nilihofia. Sijui kitega uchumi changu ndo sababu akaona labda nashika visent ko sijitaji kutoka kwake.
Tatizo lenu wadada hamuwezi kuvumilia waga mnachoka haraka...Sio kwamba waga tunajiongelesha vitu,,,ila waga tunabadili mawazo kichwani kutokana na muenendo wa mahusiano ndio maana mnaona vitendo zero....Sababu wanaume waga tunajiuliza hivi wanawake wanatuoffer nini kwenye mahusiano zaidi ya ngono na watoto?????? So mwanamke asipokua anaoffer zaidi ya ngono na watoto,,mahusiano au ndoa waga zinachosha..Maana ngono inazoeleka na familia inazoeleka pia hakuna jipya
 
Tatizo lenu wadada hamuwezi kuvumilia waga mnachoka haraka...Sio kwamba waga tunajiongelesha vitu,,,ila waga tunabadili mawazo kichwani kutokana na muenendo wa mahusiano ndio maana mnaona vitendo zero....Sababu wanaume waga tunajiuliza hivi wanawake wanatuoffer nini kwenye mahusiano zaidi ya ngono na watoto?????? So mwanamke asipokua anaoffer zaidi ya ngono na watoto,,mahusiano au ndoa waga zinachosha..Maana ngono inazoeleka na familia inazoeleka pia hakuna jipya
We unataka upewe nn tofauti na Ngono na watoto?...kama ni vtu vdogo basi muwe mnazaa wenyewe...au nunueni midoli si ipo inauzwa? Yaani nyi sex mnaonaga ni kakitu kadogo sana mnalinganisha nyuchi mnazonunua na za wake zenu.
Hizo pesa tunatafuta siku hizi nasisi. Tuwaulize sasa ukiacha pesa nnn wanaume mnaweza kutupa sisi???
 
Labda na yeye alikua anakupima ndio maana miaka yote hiyo hakutaka kuwekeza kwako kwa kuhofia hasara....Unajua sisi wanaume mpaka kuwekeza kwa mwanamke kihisia inaweza chukua miaka kumi....Afu jinsi tulivyo waga tunahonga sana makahaba kuliko wapenzi wetu wa ndani....Sijui tumelogwa na nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] But ungemvumilia ru na mapungufu yake au mngekaa chini mzungumze
Kumbeeee[emoji3][emoji3]haina shida nasisi tunatafuta pesa sasa afu tuone mwisho nnn
 
Wanaume WA bongo acheni ujinga

Kuna sites za mademu WA Nje za kulipia ingieni mjisajili kuna pisi zinajielewa ziko Ulaya na America. Tatizo bongo watu kiingereza hamjui.

Nenda Cupid jisajili tena Lipia hapa annual registration uone kama hutakuja nishukuru hapa. Chezeni mechi za kimataifa acheni ligi za hapa Tu na kulia Lia. .


Mwanaume huwa halii lii hovyo ni actions Tu.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
We unataka upewe nn tofauti na Ngono na watoto?...kama ni vtu vdogo basi muwe mnazaa wenyewe...au nunueni midoli si ipo inauzwa? Yaani nyi sex mnaonaga ni kakitu kadogo sana mnalinganisha nyuchi mnazonunua na za wake zenu.
Hizo pesa tunatafuta siku hizi nasisi. Tuwaulize sasa ukiacha pesa nnn wanaume mnaweza kutupa sisi???
Dada sisi wanaume tofauti na pesa nadhani tunawapa emotional security na ndio kitu muhimu kwenu
 
Nisingekaa nae miaka 2 kama sikumpenda iyo 5000 ilijumuisha na mengine yooote aliyokua anajiongelesha na utekelezaji zero nilichoka na nikahisi asije kua ni aina ya wanaume wakioa wanategemea mama ndo audumie familia, hicho ndo nilihofia. Sijui kitega uchumi changu ndo sababu akaona labda nashika visent ko sijitaji kutoka kwake.
Ukiona ulipewa 5000 ndio thamani yako hiyo.

Kuna watu wanapewa hata 300,000 matumizi.

Jiangalie Sana. Jiongeze thamani. Na wanawake wengi hudhani thamani yake ni Uzuri na tako Tu. Thamani ni zaidi ya hivyo vitu viwili. Nakupa KAZI ukafanyie KAZI!


Kingine usijione mjanja mwanaume uliekuwa nae mkaachana halafu anaomba akurudie tena kuwa ni Boya. Kuna wanaume huwa hawapendi kuachwa inaweza ikawa ni nafasi ya kuja kukupiga Spana akuche na maumivu na wewe! Usimuone mzembe kama unavyomchukulia.







Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unajua wanaume waga hatujui tunatafutaga nini kwenye mahusiano na wanawake waga wanaendeshwa na hisia zao sio uasilia kwenye mahusiano
Achana na huyo ana stress za kuachwa ni mwez Jana Tu katoka kuachwa Hana uwezo WA kuacha mwanaume...


Soma hapa thread yake


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ukiona ulipewa 5000 ndio thamani yako hiyo.

Kuna watu wanapewa hata 300,000 matumizi.

Jiangalie Sana. Jiongeze thamani. Na wanawake wengi hudhani thamani yake ni Uzuri na tako Tu. Thamani ni zaidi ya hivyo vitu viwili. Nakupa KAZI ukafanyie KAZI!


Kingine usijione mjanja mwanaume uliekuwa nae mkaachana halafu anaomba akurudie tena kuwa ni Boya. Kuna wanaume huwa hawapendi kuachwa inaweza ikawa ni nafasi ya kuja kukupiga Spana akuche na maumivu na wewe! Usimuone mzembe kama unavyomchukulia.







Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiyo 5000 ni yeye tuu na alinishangaza sana..swala la kunipiga tukio kashafeli.
Iyo laki 3 ni ndogo nishapewa zaidi ya hiyo.

Thamani yangu haipo kwenye pesa unaweza nipa hata million bado ukanidharau. Nyi mnatumia sana pesa kununua wanawake!!
 
Hiyo 5000 ni yeye tuu na alinishangaza sana..swala la kunipiga tukio kashafeli.
Iyo laki 3 ni ndogo nishapewa zaidi ya hiyo.

Thamani yangu haipo kwenye pesa unaweza nipa hata million bado ukanidharau. Nyi mnatumia sana pesa kununua wanawake!!
Sikia hakuna mwanamke mzuri WA tabia na miendendo asiehudumiwa na mwanaume!


Jichunguze

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom