mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Sijui Wana tamaa, ukipendeza wanajileta,
Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa.
Ukimfata na gari hata kama la kuazima, ujue amekwisha huyo. Akikupa namba we tuma salio, mwambie njoo gheto.
Mmekutana Leo. Unamuomba namba Leo na anakupa Leo!
Wale members wa kiume msiojua kutongoza, Mr Nay kawapa mbinu, hatutarajii mje muombe ushaur JF
GT wa kike Mr Nay kawasingizia au ndivyo mlivyo?
Naomba kuwasilisha.
Sura mbaya imekomaa utawapata ukiwa na pesa.
Ukimfata na gari hata kama la kuazima, ujue amekwisha huyo. Akikupa namba we tuma salio, mwambie njoo gheto.
Mmekutana Leo. Unamuomba namba Leo na anakupa Leo!
Wale members wa kiume msiojua kutongoza, Mr Nay kawapa mbinu, hatutarajii mje muombe ushaur JF
GT wa kike Mr Nay kawasingizia au ndivyo mlivyo?
Naomba kuwasilisha.