Ukiwa na sifa hizi,, Utapata mwenza haraka hapa JF

30+ hujaoa wasubiri nini?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hahahahahahahahah

No......pesa za mwanaume ni zetu sote.........zangu ni zangu kwa sababu nina matumizi mengi.......kwa hiyo kama mtu hana pesa.......apite mbali.......
 
Shule:- kibongo bongo shule means kazi nzuri ie mshahara mzuri. Kwangu mimi shule means uelewa na exposure kubwa, so Yes l won't go for form llb leaver.
Age:- 30+ means a guy is now mature and he know what he wants to do with his life. I don't to be a mother of my husband🙂
Pesa:- hii kitu ni relative, na sio rahisi kusema kiasi gani ni enough. I am sorry to admit kuwa kila kitu kinathamanishwa na hili lijinamizi. So uwezo (pesa) wa kutunza familia ni muhimu na sio kwa mkaka tu hata wadada pia. Ndio maana hata wakaka wanatafuta mwenza ambaye anaweza changia pato la kaya.

So Tetra dear, ukiwa na sifa hizo plus zile zingine za kusustain mapenzi you will surely get a woman na sio JF tu bali popote.
 
Last edited by a moderator:
::
Msomi (at least Masters in progress)
::
Pesa (sio za mawazo)
::
Umri (at least 30+)
::
Sifa nyingine unazofikiria hazina nguvu sana..Labda umpate aliyetendwa sana hadi benchi limemchosha !!
Niko tayari kukosolewa.
=

No RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, hii conclusion yako umeifikia kwa kuangalia vigezo gani??
 
Umechambua vizuri...japo kuna wakati sio lazima ziaaply universally...
Na haya ndio babu Dark City huwa anayaita maslahi...
Kiujumla sifa za Tetra zimebeba mambo ya msingi kwa mwanaume.
Nakubaliana na wewe kuwa kwa mwanaume mwenye walau hizi sifa ana stand a big chance ya kumpata mdada!

 
Last edited by a moderator:
No RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, hii conclusion yako umeifikia kwa kuangalia vigezo gani??

::
1.Tembelea Mf Love Connect utazame sifa zinazotajwa japo kwa mwezi mzima.
2.We mwenyewe Mrembo by Nature Kwa ukweli wa nafsi yako (IN IGNORANCE OF YOUR MARITAL STATUS) are willing to accept me,,a poor man,,form four leaver,,kula kwangu hadi muujiza utokee.
3.Nimefanya research isiyo rasmi (with enough sample) ,So I have a ground to stand for
=
 
Last edited by a moderator:

Sifa hizo muhimu lkn mtu asije akajisifia mihela au elimu huku ni penda penda. Big no kwa huyo mtu..Na wanaume wengi wanaringia sifa hizi tu wakati wanawake wanaringia silaha ya uzuri...Hizi sifa alizotaja Tetra huwa zinaonekana kirahisi sana kiasi mtu atazitambua siku ya kwanza tu.Lakn tunashauriwa tuchunguzane walau miezi sita kabla ya kuoana ili kutambua zile sifa nyingine za muhimu ila hazionekani.
 
Last edited by a moderator:
nakupenda ulivyo
bby na wala si hela Zion Daughter
mimi kua na loya ni mpango wa mungu!


::
Nyie acheni kutufumba Macho mchana!!
Kuna nafasi ukizitaja Tz Ka milioni per month hakakosi,,mf
_Lawyer
_MP n.k
So Passion Lady uliona mbali ukajua under kapeti kuna ka unafuu.
Isitoshe Lawyer's CV ina at least Degree+
UNLESS HAMKUKUTANA JF
=
 
Last edited by a moderator:

Mimi siangaliii una nini mkononi ila upeo wa wapi unataka ufike na uwezo wako wa kuitumia akili kukufikisha pale ambapo unatamani ufike, kweli kwangu mimi mwanaume ambae thinking capacity yake iko low simhitaji katika maisha yangu, najua hela tutatafuta, elimu pia mashule kila siku yanafunguliwa so atajiendeleza lakini swala la upeo ni kitu kingine nje ya elimu.
 

::
Well said Kaunga Kwa JF (MMU+LOVE CONNECT) ukiwa na hizo Mambo ni rahisi kama kupeleka mkono kinywani
=
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu kuwa applied universally, ni contextual zaidi. Elimu, inaweza isiwe formal lkn tukochukulia maana yangu ya 'uelewa' ukiwa mkubwa chances ya kuvutia wanawake inakuwa kubwa.
Suala la umri pia again kwa tafsiri yangu ya maturity yenye kumfanya mtu ajue anachohitaji na jinsi ya kukiachieve bado inakuwa applicable sehemu nyingi, na kwa nyakati nyingi. Eg zamani miaka 19 ilitosha mvulana kuanza familia.
Again kwenye swala la uwezo wa kutunza familia, fiatilia hata tafiti za primates (sokwe na gorilla) dume lenye nguvu na linaloweza tafuta chakula lina uwezo wa kuwapata wadada wengi, vile vile wamama strong wenye uwezo wa kuzaa na kutunza watoto vizuri nao wana soko (Fifi wa Gombe).
 
Last edited by a moderator:

Mwanaume mwenye uelewa mdogo kwa kweli jiandae kuwa Mama yake kama alivyosema Kaunga . Mtu anaweza kuwa na umri mkubwa au elimu lkn bado ni mama boy
 
Last edited by a moderator:

::
Mwanaume hata awe na akili kiasi gani akipata mwanamke bomu,,maendeleo yatakuwa hovyo.
Let me tell you
Mrembo by Nature
Ushawahi kujiuliza ni kwa nini asilimia kubwa ya wanaume mbumbumbu ndio matajiri wakubwa?
Kuna sababu nyingi,mojawapo ni kuwa
"Behind the successful man there is a successful wife"
Hivyo basi ni wanawake wachache sana kama wewe wanaotazama IQ ya mwanaume ktk maisha ikoje,,wengi hawajishughulishi na hilo wanaona Kwa Degree,Masters,Doctorate or Phd basiii huyo ana akili,ana pesa n.k simple calculation,why bother?
=
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…