Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Mkuu sisi tuna NGO ambapo tunaruhusiwa kupokea pesa ndefu kutoka nje


Tukipanga mchongo vizuri unaweka pesa na unakuja bongo unazitoa bila kelele
Kule pakuingiza huo mzigo mtasema hiyo bilioni mmeipataje
 
Wazo zuri
 
Hii nzuriii ajitosee tu mconnect apate mtu muaminifu...!! Maana unashangaa unazungukwaa na uhai unaukosaa...
 
Hawa ndo wanafanya africa/ watu weusi tuwekewe alarm ulaya wao kila kitu fursa hadi wanaharibu
Tena kwenye mawasiliano yao wanasema Kenya itakuwa rahisi zaidi kupitia kwa kuanzia Citi Bank kutakuwa na maswali zaidi. By the way Nigerians wamepigwa ban UAE na Canada.
 
Hata wazanzibari na wasomali wanafanya sana hii biashara ya mtindo huu, ila hawafanyi kwa mtu wasiomjua au kumuamini.
 
Id lazma, verification lazma. Njia hyo ni ngumu hata forex lazma uverify kufika tu dola 10,000/-
Tumia hard and soft wallet , ku varify hauna kitambulisho

Lessen
nida
Passport
Kitambulisho cha kura ,
 
Tumia hard and soft wallet , ku varify hauna kitambulisho

Lessen
nida
Passport
Kitambulisho cha kura ,
Ndugu i did my best in these two days. Hzo njia sijui za trade Zisikieni tu kwasababu hamna hela. Ukiwa na hela ni ujinga mtupu. Ukiwa na hela kama hiyo zinahitaji mambo mengi.
Nimekesha mtandaoni , mpaka unaona npo hapa maana yake nimekuja sasa kufukulia ideas za wajuvi wa bongo naamini kuna watu wameona au kusikia sehemu how things move.
 
Hata wazanzibari na wasomali wanafanya sana hii biashara ya mtindo huu, ila hawafanyi kwa mtu wasiomjua au kumuamini.
Tena akiwa siriasi hata miezi 6 haifiki hiyo hela ishahama Bongo apate watu waaminifu tuu mm huko kote nilikuwa napokea mpaka 20 Milion karibu na jengo Ccm lumumba jengo silitaji nishapokea sana tena unapewa Dollars inatumwa huko huko wanakatana ww unaenda na Code na Id tu kwisha habari.
 
Nipo mimi nifate kwa msaada,Nakupa account yangu unanitumia kiasi fulani

Nafungua account 4 tofauti tofauti,unanitupiamo kama 50m 50m ikija unanipa 10% ya mzigo kwa uaminifu mkubwa,nakutumia info zangu anuani,hadi vitambulisho nk

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Ndo shida ya kukimbilia ku comment bila kusoma Uzi kwanza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…