Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
icho kitu anakinunua wapi, wakati hata kwenye manunuzi hawataiamini cash, watataka iwe credited kwa card? mbona mpo mbali sana na dunia aisee?Nunua kito Cha dhahabu kivae, upite nacho airport,ukifika bongo unayeyusha kwa sonara unauza dhahabu unarudisha pesa yako
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwani uko ulipo huna bank account?icho kitu anakinunua wapi, wakati hata kwenye manunuzi hawataiamini cash, watataka iwe credited kwa card? mbona mpo mbali sana na dunia aisee?
ana bank account lakini hajaziweka benki, anazo home kwenye salfeti.
Kalibu inbox Mkuu Tufanye KaziAsante. Na si lazima niwe na hiyo hela ila kupata maelezo ni swala zuri. Kuuliza si ujinga wanasema waswahili.
Tutatumia taasisi ya kidini Kufanikisha HiliNamjua nje ndani. I need something clean. Nipe mawazo yakinifu usife ubongo.
Nilifikria pia hili akitafuta kituo cha kulelea watoto Yatima au NGO akaset up donation ya mchongo huko halafu akahamishia ukwasi kidogo kidogo kwenye NGO hiyo itakuwaje ?Huna mtu mwenye NGO? Waweza tumia njia hiyo
Ndio inatumika kwa njia nyingi hata sio kununulia tu watu vitu, inaonekana una haraka na hata unaweza kuwa nchini unataka zipitie kando π€ natumaini za mema lakini..Haijakaa sawa.
Hiyo instalment payment unaifanyaje wakati una cash kabatini ghetto kwako? Systems za watu weupe sio rahisi sana mtu kutakatisha pesa.Kama ni mimi naingia kwenye website ya kiwanda kabisa naagiza brand new trucks na hizo installment nafanyia kiwandani hukohuko sihitaji mtu wa kati
Hii ndio option pekee inauowezekana hapa. Otherwise atapoteza pesa zake.Cash zina move sema waswahili hatuaminiani
Hizo dola wangekuwa wahindi kitu kidogo sana anampa muhindi mwenzie aliye nje USD 500,000 aliyempa anampa gharama ya ku move hiyo pesa kuwa itakuwa dola 20 000 unaambiwa nenda kwa muhindi fulani Dar dukani kwake au popote kachukue dola zako 480,000 Cash anapewa huko.Zile dola kule zinabaki kule kule kule hazimove
Ukitaka ku move dollar mfano laki mbili kwenda USA mchezo huo huo.anakuambia gharama ya ku move dola laki mbili ni dola elfu 10 mfano
Unampa dola laki mbili Tanzania unaenda marekani unaenda kupewa cash dola 190,000 cash bila longolongo
Hizi laki mbili umeweka huku.hazi move kwenda USA
Kwa waswahili ukithubutu uwezekano wa kutapeliwa mkubwa
Wahindi wanayaweza
Naamini ana gari hapo alipo. Azichomelee kwenye gari sehemu ya siri halafu aitume Dar. Au aziweke kwenye mfuko wa plastic halafu aziweke kwenye tanki la mafuta. Aombe tu meli isizameπHii ndio option pekee inauowezekana hapa. Otherwise atapoteza pesa zake.
Utajiri ni siri ya mtu ingekuwa sio siri kila mtu duniani angekuwa tajiriUlikuwa una fanya kazi gani humo ughaibuni mpaka upate hela yote hiyo ????
Hana anachokijua Wala Hana hicho kiasi ,juzi tu hapa anauza ps mbovu kwa laki Leo eti ana usd 500000 cashmimi sidhani kama wewe una pesa yeyote, unasumbua akili za watu tu hapa. hivi kweli uwe na pesa kama hiyo halafu usijue namna ya kuisafirisha? au umeziokota mtu alidondosha? upate akili ya kutafuta pesa kama hiyo halafu ukose akili ya kusafirisha? kwenye dunia hii? unauza madawa? unashindwa nini hata kwenda tu kwa customer care wa bank hapo ulaya ufanye maulizo?
Kuna Scanners bandarini kwa ajili ya kutrack madawa , litakwama hilo gari huko huko ulaya. Na Pesa yote watachukua mixer kesi .Naamini ana gari hapo alipo. Azichomelee kwenye gari sehemu ya siri halafu aitume Dar. Au aziweke kwenye mfuko wa plastic halafu aziweke kwenye tanki la mafuta. Aombe tu meli isizameπ