Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Something to note wakati mnanishauri.
Money transfer yyte inahitaji maelezo kwa pesa ya urefu huo. 100% itapotea.

Go and return. Itanichukua si chini ya milioni 200 tickets kusafirisha dola elfu kumi kila trip.

Hela tajwa juu, idadi iliyofikia si yakukaa nayo cash kwa nchi niliyokuepo na nchi nyingi za ulaya. Ni hela iliyokusanywa. Sema imezidi limit na ubaya ipo in cash. Ngumu kutolea maelezo popote.
Njoo pm niwekee kwenye acc.yangu tutayamaliza tu huku tz
 
Hamna kitu kama hicho , hiyo hela ni refu sana , Labda ni mtu tu ameamua apate comments hapa JF na likes tuu , ni Kazi gani ya kumuuingizia hiyo hela . Huyo mtu anatumalizia tu MB zetu kujibu upuuzi hapa
 
Talk with big importers, of course there will be a consideration; sign an agreement, give them the money. He will import whatever he is registered to import. Atauza na kukupa hela yako.
Huwezi kuwa na $500,000 usijue kizungu.
If you got those bucks legitimately you can remit them through the bank
Akifanya hivyo ajiandae na matatu kati ya haya:
1) kufanikiwa, watamlipa bila shida
2) kutupiwa majini, akasahau kabisa hiyo pesa
3)kutumiwa majambazi na kuuawa

Kwenye pesa hao tycoons huwa hawana utani tena kwa mtu ambae hawamjui vizuri
 
Ushauri wangu tafuta ndugu zako Kama 20 hiv wape help wafungulie akaunti halafu kila mtu mtumie kiasi fulan Cha pesa mfano dola elfu 10 kila baada ya mwez halafu ukirud bongo utazitoa
Hii sio rahisi pia. Account zikifunguliwa mpya alafu ghafla zikawltumiwa milion 20 kutoka nje ya nchi, Tena account zimazofanana surname. Lazima Kuna alert hapo. Lazima wabanwe kupata uhalali, mwisho kabisa utanaswa

Muulize marehemu membe
 
Kwanini usifanye manunuzi ya bidhaa ambazo unajua ukifika huku lazima zitauzika au utatumia kirahisi na zikatengeneza faida zaidi ya hiyo pesa! Agiza hata vichwa vya howo na matrailer yake vijana waje wapambane navyo huku
Sio rahisi
Lazima kutakua na red flag, mtu ambae hajawahi kufanya biashara ya magari amewezaje kununua magari mapya 20 harakaharaka.
 
Sasa si awe anazileta yeye mwenyewee kwa trip kadhaaa.
Teknolojia ya sasa itamuumbua tu. Lazima kutakua na red flag

Hapo ni safari 50 ili aweze kumaliza hizo pesa. Hivyo lazima watashtuka, maana wataona safari zi.ekua nyingi kwenda nchi 1 na kila akirudi anarudi na pesa
 
Ikiingia tu kwanz la account itafungwa alafu jiandae kuwapokea hawa..

1. Maafisa wa BoT
2. TRA

Baada ya hao tarajia pia hawa..

3. Mkuu wa mkoa
4. DC
5. Katibu wa chama
Daaaah nyie Tanzania hatari sanaaa nimecheka, una ufala mwingi sana, sasa watu wa chama tena watamvaa wanataka nini 😂😂😂😂😂
 
Nunua kito Cha dhahabu kivae, upite nacho airport,ukifika bongo unayeyusha kwa sonara unauza dhahabu unarudisha pesa yako

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ananunuaje huko? Ni nchi gani huko nje Western ambayo utaenfa na cash hata $2,000 ukanunua kitu watakubali?

Wengi sijui hamjui wenzetu walishatoka kwenye cash. Hapo ndani ya dakika 2 atakua yupo polisi anatoa maelezo alafu siku inayofata yupo mahakamani na baada ya muda atakua jela na pesa zote zitachukuliwa.
 
Nakupa option zifuatazo.
1. Kuna mdau kaongelea hizo deal za wahindi yaani kuna mtu yuko bongo ana hio cash na wewe uko huko so hizo unaacha huko unakuja kupokea huku at a reasonable cost lets say 10% of the amount
2. Deposit kwenye online gambling site. This is a very good method to clean it. Let’s say unaanza kudepost 5000$ sasa wewe haubet yote, una bet lets say dola 100$ ushinde au usishinde hakikisha una Fanya withdrawal kwenye akaunti itaonekana kama winnings from gambling site. Ila DEPOSIT OVER THE COUNTER kwenye any casino huko europe ili uingie evolution, betway au 1x. Cheza sana huko kuna gambling addicts wanabet mpaka 10M USD in a month. So haitokuwa shocking sana.
3. Nunua bitcoin mdogo mdogo. Baadae uza unapata justifiable amount.
4. Ukishindwa mzee bakinazo. There is no investment bongo that is worth the risk


WAKANDA FOREVER
Huu ndio ushauri bora kuliko wote

1) mpe cash tajiri wa huko awe msomali au muhindi na hakikisha nae ni mtu wa hayo mambo maana akiwa ni nyoka umeisha utaozea jela

2) Deposit cash kiasi kidogo sana cha pesa kwenye hizo betting, alafu uwe unacheza kweli na uwe unatoa kidogo.
 
Hiyo njia ya Wahindi walioopo huku ni best way... unaacha hela zako unakuja pewa cash huku bongo uanze kupambana nazo... uzuri huku bado sio cashless kama huko ulipo...


Ila wazo langu lingine kuliko lile la kutafuta ndugu 30 sijui 20 huku bongo then uwatumie (ambapo bank za huko watakudoubt) kama walivyosema wadau, tafuta watu 30 unaojuana nao huko ulipo... mje bongo kama wataliii then kila mtu abebe 10m USD ambazo ni allowable... hapa one trip mnaleta huku like 300m... ukisafiri kwenda na kurudi alone mara 50 sijui hutotoboa...
Kupata hao 30 alafu wote wakawa poa ni shida, lazima Kuna mmoja atakuwa nyoka tu. Hiyo njia sio salama
 
Go and return ✓ utanishukuru [emoji1431]
Hiyo go and return baada ya muda tu atakua tayari kishakuwa mfungwa mpya.

Teknolojia imekua, akifanya safari 5 tu ambazo akienda huko alafu anabeba pesa cash anapita nazo airport. Tayari itakua red flag, safari 5 zinazofata zitamaliza kabisa doubt yao na atakua kwenye mikono salama.

Hii njia inawezekana Africa tu, utoke na pesa Ghana ulete huku
Hapo sawa, lakini sio europe.

Njia pekee ni hiyo waliyosema hapo wadau, atafute wasomali au wahindi wa dili haramu awaachie hiyo pesa, alafu hao wahindi/wasomali wawasiliane na wenzao huku kuwa kuna mtu watampatia pesa cash hapa Tz. Wao watamalizana wenyewe. Hii njia kudhululiwa nje nje, hivyo na yenyewe uwe tayari kupoteza pesa au uhai wako
 
Habari wana JF,

Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.

Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
Mimi Niko kahama mkuu naomba uniwezeshe $2000/- nitakujali pakubwa mnooo njoo WhatsApp tuyajenge0627415095
 
Back
Top Bottom