Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Ukiwa na USD 500,000 unaingiza vipi Tanzania kama upo nje ya nchi?

Mleta mada safi sana.

Umerudisha imani yangu kwamba waafrika pia Iq inasoma soma juu kidogo.

Wamedhihirisha hilo kwa kuchukulia kwao mambo dhahania kuwa ni halisi na kutoa majibu mengi kama ulivyouliza.
Taking the hypotheticals seriously is a sign of higher IQ ✅.

My take: Pesa mifumo yake imejiweka kama sukari tu mwilini;
Pesa(sukari) ukiipata nyingi basi ni kweli itajionesha umeizalisha nyingi na kiotomatiki utaitumia kwa wingi. Ndio maana matajiri kama kina bakhresa ni wana shughuli kubwa (ndio utajiri) na sio tu pesa nyingi isiyoeleweka. Pesa halali ni ambayo ni matokeo ya shughuli.

Ukifanya cheating kiwango cha pesa(sukari) kisiendane na matumizi, uchumi(afya) utayumba na ndio maana serikali(akili) inajitahidi kuregulate hili jambo heavily🤔

Nikiiweka vizuri hii falsafa ntaandikiaga blogu.
 
Habari wana JF,

Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.

Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.
unatakatisha ?
 
Hapo solution ni moja tuu kutumia Money Laundry way, Kuna watu wako kwenye hii business for years na kila nchi wapo.

Hao unawapa mzigo wanachukua % yao pesa yako unaenda kuichukua unapotaka. Mfano unaweza ambiwa kila wiki utakua unaenda kuchukua milioni 100 cash let say kwa mchungaji fulani hapa Tanzania hadi pesa yako itakapo kamilika.

Watu wanatoa sadaka church wewe unaenda kuzikusanya then Mchungaji nae anapokea mzigo wake + percent yake through charity biashara imeisha.

Huu ni mfano tuu nothing personal.
 
Kutoka moyoni tufanye deal, jipe miezi 3 ya kukaa huko ulipo, uwe unaweka kwenye acc zangu 2,hata nikihojiwa ntasema natumiwa na bebe yuko ughaibuni, then ntakuwa nakuwekea kwenye acc yako kidogo kidogo,mi utanilipa 10 percent tu baada ya kukamilidha kazi
 
Habari wana JF,

Jumapili yenye mushkeli, kumpoteza bwana wille aka lemutuz, ni pigo kwa watanzania wanaomfahamu na waliopenda vitimbwi vyake mitandaoni. R.I.P.

Turudi kwenye mada. Je! dola laki tano in cash(noti) Unaingizaje Tanzania naomba msaada kwa wajuvi wa kada hii. Kwani naamini wapo wanaoelewa mipango. Asanteni.

Mkuu nipo njee ya mada yako kuna mambo ningependa nijifunze kutoka kwako niruhusu tuongee kidogo
 
Hizo pesa ukitaka kufanikisha inabidi uzivushe kwa muda mrefu au lazima utumie gharama nyingi thuswhy wanaigeria wamefanikiwa sana kuvusha...mtu kama hushpuppi yeye kila siku alikuwa anapeleka mabilioni popote.kuna watu ndio kazi zao hizo tena zako ni ndogo...zigawe pesa kwa mafungu.
1.Zingine njoo nazo cash kidogo kidogo fanya trip kadhaa
2.tumia makanisa hasa yanayojengwa ya watu binafsi...kuna mchungaji alipokea zaidi mill 100 kutoka kwa mtu nje alihojiwa akajieleza akachiwa
3.Nunua bidhaa za luxury uje kuuza
4.watumie ndugu zingine.
5.etc.
Baada ya muda kama mwaka hivi utajikuta pesa nyingi imesharudi Bongo..
Ila kuvusha kwa mara moja zote utapoteza zote otherwise utumie wataalamu wa pili hizo kama wasomali etc...
 
Back
Top Bottom