1. Tz sijaona PhD zaidi ya Ile ya professor Shaba. Watanzania tunakula ugali kila siku lkn uliza Kuna PhD ngapi Tz zinazoboresha ugali.
2. Ukiona mtu anachukua wake za watu ujue wake ana matatizo ya kwenye 6x6.
3. Mtu yoyote mwenye furaha na amani rohoni halindwi na G4 security Wala hawindwi na majirani. Lazima umegundua kwamba watu wa Masaki Ni waoga sana na hawajiamini. Kaa nao kwenye bar ambayo haina mabaunsa utaona wanavyohaha. Sasa njoo huku Buguruni Madenge uone real freedom.
4. Kwani mwenye pesa nyingi anakula pilau kila siku? Au anakula Mara ngapi kwa siku au anavaa suti ngapi kwa siku au we mpwa wee list Ni ndefu.
5. Kuhusu mabibi wa nje yaani nibkujidhalilisha tu kwani wako ukimuandaa vizuri utakula bila makaratasi Tena chumbani kwako faragha sio hadharani kwenye magesti baada ya kula kuku feki na kunywa energy drink na kulipia chips, kuku, bia, makaratasi, gesti plus taxi na vocha juu