Ukiwa na vyote bado tu unatakiwa kumuogopa yule ambaye hana kabisa na ni adui yako pia?

Ukiwa na vyote bado tu unatakiwa kumuogopa yule ambaye hana kabisa na ni adui yako pia?

Hivi wewe ni Mtanzania kweli au unatudanganya una asili ya Israel? Hii akili kubwa na utanzania haviusiani. Watanzania wenye akili kama hizi wamebaki wachache sana, ni wa kuokoteza.

Ni Mtanzania halisi kabisa Mkuu sema tatizo 'Kubwa' ni kwamba 'Nimerithi' aina ya 'Upeo' huu mkubwa kutoka kwa 'Marehemu' Babu zangu Wawili.
 
Adui ni adui tu

Tena hata kama hana akili hata moja amekata kamba za mirembe unatakiwa umuogope na ujihami kwa mbinu zote

Go Magu Go, huyo adui yako kichwa chake ni kama puto ambalo wapulizaji wake ni mabeberu

Hatujui litaangukia upande gani

Beba miba ya kutosha ukiskia paaaa!!!! Ujue kajigusisha. Afanaaleki!
 
1. Tz sijaona PhD zaidi ya Ile ya professor Shaba. Watanzania tunakula ugali kila siku lkn uliza Kuna PhD ngapi Tz zinazoboresha ugali.
2. Ukiona mtu anachukua wake za watu ujue wake ana matatizo ya kwenye 6x6.

3. Mtu yoyote mwenye furaha na amani rohoni halindwi na G4 security Wala hawindwi na majirani. Lazima umegundua kwamba watu wa Masaki Ni waoga sana na hawajiamini. Kaa nao kwenye bar ambayo haina mabaunsa utaona wanavyohaha. Sasa njoo huku Buguruni Madenge uone real freedom.

4. Kwani mwenye pesa nyingi anakula pilau kila siku? Au anakula Mara ngapi kwa siku au anavaa suti ngapi kwa siku au we mpwa wee list Ni ndefu.

5. Kuhusu mabibi wa nje yaani nibkujidhalilisha tu kwani wako ukimuandaa vizuri utakula bila makaratasi Tena chumbani kwako faragha sio hadharani kwenye magesti baada ya kula kuku feki na kunywa energy drink na kulipia chips, kuku, bia, makaratasi, gesti plus taxi na vocha juu
Hujamuelewa mtoa mada.
 
Hapo umesahau kimoja,NEC tie but vyote hivyo kuwanavyo inategemea uhalslishiwe na wanyonge na uwe msema kweli mpenzi wa Mungu 😆😆😆😆
 
Mimi siyo 'Mkurya' Mkuu ni Mzanaki, Mtutsi, Mmakuwa na Mmwela. Hao 'Wakurya' ninawaheshimu tu kwakuwa tunatokea pamoja Mkoani Mara tu.
Ndiyo walewale tu usibishe, Butiama na Bisarye, ikizu, isenye natabigo mpaka Mugomu teremka maji moto, kibumaye mpaka Turwa Tarime Nenda Kuria District-Kenya ni hao hao mnasikilizana.
Adui wa mtu ni mtu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom