GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Hivi wewe ni Mtanzania kweli au unatudanganya una asili ya Israel? Hii akili kubwa na utanzania haviusiani. Watanzania wenye akili kama hizi wamebaki wachache sana, ni wa kuokoteza.
Sawa Mkuu... Usihofu Ni Amani tuMimi siyo 'Mkurya' Mkuu ni Mzanaki, Mtutsi, Mmakuwa na Mmwela. Hao 'Wakurya' ninawaheshimu tu kwakuwa tunatokea pamoja Mkoani Mara tu.
Hujamuelewa mtoa mada.1. Tz sijaona PhD zaidi ya Ile ya professor Shaba. Watanzania tunakula ugali kila siku lkn uliza Kuna PhD ngapi Tz zinazoboresha ugali.
2. Ukiona mtu anachukua wake za watu ujue wake ana matatizo ya kwenye 6x6.
3. Mtu yoyote mwenye furaha na amani rohoni halindwi na G4 security Wala hawindwi na majirani. Lazima umegundua kwamba watu wa Masaki Ni waoga sana na hawajiamini. Kaa nao kwenye bar ambayo haina mabaunsa utaona wanavyohaha. Sasa njoo huku Buguruni Madenge uone real freedom.
4. Kwani mwenye pesa nyingi anakula pilau kila siku? Au anakula Mara ngapi kwa siku au anavaa suti ngapi kwa siku au we mpwa wee list Ni ndefu.
5. Kuhusu mabibi wa nje yaani nibkujidhalilisha tu kwani wako ukimuandaa vizuri utakula bila makaratasi Tena chumbani kwako faragha sio hadharani kwenye magesti baada ya kula kuku feki na kunywa energy drink na kulipia chips, kuku, bia, makaratasi, gesti plus taxi na vocha juu
Ajabu la 7 la Dunia liko Tanzania, na wala si Ngorongoro CraterUNA PHD,
masters umesomea UINGEREZA ila hujui Lugha
Kuna LE PROFESSER la Wizara ya Elimu nalo lilizinguagaAjabu la 7 la Dunia liko Tanzania, na wala si Ngorongoro Crater
You don't finish job. Today you sleeping on cell. Police catch it put in cell.Kuna LE PROFESSER la Wizara ya Elimu nalo lilizinguaga
Mkuu nukuu hii hauna clip yake π π π π πYou don't finish job. Today you sleeping on cell. Police catch it put in cell.
Paranoid
Lugha adhimu ya kiprofesa hiyo.Mkuu nukuu hii hauna clip yake π π π π π
Ndiyo walewale tu usibishe, Butiama na Bisarye, ikizu, isenye natabigo mpaka Mugomu teremka maji moto, kibumaye mpaka Turwa Tarime Nenda Kuria District-Kenya ni hao hao mnasikilizana.Mimi siyo 'Mkurya' Mkuu ni Mzanaki, Mtutsi, Mmakuwa na Mmwela. Hao 'Wakurya' ninawaheshimu tu kwakuwa tunatokea pamoja Mkoani Mara tu.