Kassimu Mchuchuri
Member
- Aug 9, 2018
- 95
- 293
[emoji23][emoji23][emoji23]kudokoa bhana siyo kuiba.hahaha ukiingia jikoni unaonekana umeenda kuiba mboga
eeh hiyo hiyo[emoji23][emoji23][emoji23]kudokoa bhana siyo kuiba.
Yah, ni changamoto.eeh hiyo hiyo
yani kutokuwa na kazi ni tabu sana [emoji16]
hahaha😀 likitokea jambo kubwa huulizwi maoni yako, akifa mwanafamilia huwekwi kwenye kamati ya mazishiYah, ni changamoto.
Hapo bado hawajaficha remote usiangalie TV[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] my ribsUkiwa Nyumbani Halafu Huna kazi
Hata Mtoto Akilia Tu Inaonekana Wewe Ndo Umemchokoza!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiwa Nyumbani Halafu Huna kazi
Hata Mtoto Akilia Tu Inaonekana Wewe Ndo Umemchokoza!
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Likija tangazo kwenye t.v. unaambiwa umebadili chaneli