Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Siyo umemchokoza, ni umemfinya kabisaa nashavuni... Kingoni tunasema UMEMTUNYA NYUGU KWENYE MATAMAUkiwa Nyumbani Halafu Huna kazi
Hata Mtoto Akilia Tu Inaonekana Wewe Ndo Umemchokoza!
[emoji23][emoji23][emoji23]
My mother was very supportive.... God bless her!
Kreti la soda likinunuliwa wewe unapewa bitterlemon au krest
Una jinsia ipi mkuu!Mkuu, ikiwa wazazi wako walikupeleka shule na leo upo mtaani eti unalalamika kwamba hauna mtaji, basi jiweke kwenye kundi la vijana waliowatia hasara wazazi wao.
Naomba nijibu hoja zako kama ifuatavyo:-
1. Kukosa mtaji ni uzembe mkubwa na kimsingi hakuna mtu ambaye anaweza kupata mtaji kwa urahisi kama mnavyo dhania ndugu (nendeni mkabebe haya zege ama kuchimba mitaro ili mtaji upatikane)
2. Hakuna mtu mwenye anapenda kufanya kazi ngumu, na hasa vijana wengi wa kiTanzania ni wavivu wa kupindikua (vijana wa leo hawapendi kazi za mikono na wana madeko sana)
3. Sio wote wanao fanikiwa walipata ujuzi wa kazi za mikono. Na kukosa nafasi ya kujiunga ama kuchagukiwa chuo kikuu, hiyo haimaanishi kwamba basi ushindwe kuuza hata matunda mitaani ama kubrashi hata viatu.
4. Hakuna connection ambayo utaweza kuipata kama hauna mwenye atakushika mkono(hii isiwe kigezo kwa vijana na hasa ndipo hasa mnapaswa muanze kujipanga mapemza ikiwa unajua kwamba hauna connection).
5. Stress sio kitu kinacho kuja ghafla ndugu, kila jambo linahitaji utulivu na umakini ili kujikinga na mikwamo isiyo ya lazima kama kuwapa stress na desperation.
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kama unaitwa Michael wanaanza kukuita Jamaa,
We jamaa
Uyu jamaa bado amelala
Uyu jamaa yupo wapi akanunue sukari
Uyu jamaa yupo wapi akajaze gas
Battery zikiisha kwenye remote utasikia huyu jamaa ameshaharibu remote
Hilo la bibi kunikosesha amani lilinipata pia, alikuwa anasema "eeeh!! Munanyooka nyooka tu, kazi za kufanya zimekosekana "harafu ile asubui anakuamsha ufagie uwanja, r.i.p bibi yangu kiukweli ulikuwa una support juhudi za muheshimiwa japo alikuwa bado hatujamfikilia.Mi bibi alikuwa ananiambia unalala mpaka muda huu umepaki malori mangapi huko nje?
Au eee “naona bakhresa hajaamka tu”
Hilo la bibi kunikosesha amani lilinipata pia, alikuwa anasema "eeeh!! Munanyooka nyooka tu, kazi za kufanya zimekosekana "harafu ile asubui anakuamsha ufagie uwanja, r.i.p bibi yangu kiukweli ulikuwa una support juhudi za muheshimiwa japo alikuwa bado hatujamfikilia.
HahahahaaLikija tangazo kwenye t.v. unaambiwa umebadili chaneli
Hahaha mkuta huyu omba mungu yasikukuteHayaja kukuta