Ukiwa Online Hapa JF na Huchangii Chochote

Ukiwa Online Hapa JF na Huchangii Chochote

Kwa mfano sasa mimi nipo online na sichangii chochote, utanifanya nini sasa tuseme?
Kama vipi njoo hapa 40, 40 useme unachotaka....
 
Napika maandazi vitumbua kalmati kachori na donati.
Ulivyotaja mapochopocho,

Umenikumbusha Inspector Haroun Babu mzee wa vyapati vyapati.

Asali Wa moyo Anakula urojo,Tende na maziwa kibabu,nyama rositi,anatema slang,anabonga ung'eng'e,anagonga ngeli kilatini,
Kiespanyola hapo ndo chenye.


Mamaa Kasie mama wa hubaa nilijua utamwaga maandishi ya vitumbua,kachori kwa kispanyola lugha ya deko,lugha mahaba.
 
Ulivyotaja mapochopocho,

Umenikumbusha Inspector Haroun Babu mzee wa vyapati vyapati.

Asali Wa moyo Anakula urojo,Tende na maziwa kibabu,nyama rositi,anatema slang,anabonga ung'eng'e,anagonga ngeli kilatini,
Kiespanyola hapo ndo chenye.


Mamaa Kasie mama wa hubaa nilijua utamwaga maandishi ya vitumbua,kachori kwa kispanyola lugha ya deko,lugha mahaba.


Aahahahahhaaa tungo tamuu, natamani uendelee tena...
 
Hakuna kitu kinanikera kama mtu kukimbilia thread na kujibu " ngoja wajuvi waje hata mimi sijui" au "nilikuwa nawahi siti tu" .
Ni kweli lengo la mtoa mada ni kuhitaji wadau kuwahi siti ya mbele au kuhitaji ushauri kwa yaliyomsibu? Kama sina cha kushauri au sijisikii kushauri ni bora nikapita kimya kimya tu.
 
Watu wana mission zao Hatari, utasikia tu thread mpya, alikuja na bikini ya kitenge, Mara Dada naye anajibu, kaka ana harufu Kama beberu, Kidude chenyewe kidogo kama kifutio cha penseli
 
Back
Top Bottom