ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kwenye maisha usiwe serious sana ishi Kama mwijaku furahia maisha fanya vitu ambavyo vinaonekana vya ajabu mtu mzima kuvifanya mfano kubebana mgongoni,.
Kuwa serious kwenye ishu ya posho tu maana usipokuwa serious kwenye hela unaweza kudhulumiwa usipate gawio.
Kula vinono na kunywa pombe achana na janabi mwili wa binadamu umeumbiwa viungo ambavyo kazi yake ni kuchuja sumu.. Halafu kwanini utake kuishi miaka mingi sana ishi miaka kidogo inatosha Tena Kwa wanawake ndo kabisa akianza kuwa lishangazi anapaswa adedi.
Mtu anakwambia madhara ya kitu na hayajawahi kumkuta Kwa mfano unaniambia nisinenepe wakati sijawahi kunenepa nikashuhudia madhara yake.. Au pombe eti ina madhara wakati sisi wazazi wetu walikuwa wanakunywa na wakatusomesha.. Hivyo pombe haina shida.. Shida ni umaskini na hata kwenye jamii wanywa soda ndo wanaongoza kuleta matatizo.. Sio akili zangu wakuu ni CHAI nayokunywa.leo ni weekend Nasema uongo ndugu zangu.
Kuwa serious kwenye ishu ya posho tu maana usipokuwa serious kwenye hela unaweza kudhulumiwa usipate gawio.
Kula vinono na kunywa pombe achana na janabi mwili wa binadamu umeumbiwa viungo ambavyo kazi yake ni kuchuja sumu.. Halafu kwanini utake kuishi miaka mingi sana ishi miaka kidogo inatosha Tena Kwa wanawake ndo kabisa akianza kuwa lishangazi anapaswa adedi.
Mtu anakwambia madhara ya kitu na hayajawahi kumkuta Kwa mfano unaniambia nisinenepe wakati sijawahi kunenepa nikashuhudia madhara yake.. Au pombe eti ina madhara wakati sisi wazazi wetu walikuwa wanakunywa na wakatusomesha.. Hivyo pombe haina shida.. Shida ni umaskini na hata kwenye jamii wanywa soda ndo wanaongoza kuleta matatizo.. Sio akili zangu wakuu ni CHAI nayokunywa.leo ni weekend Nasema uongo ndugu zangu.