Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMke nitakayemuoa nimesha mpata tayari,
Bado huo utajiri tu,
Nikitajirika nitakuja kuchangia uzi.
Anhaa niliviuza Ila madeni yalikuwa mengi mpaka nikasahau mbio za utajiri wa hapa jamviniMENEMENE TEKERI NA PERESI
Hujauza viazi Bado😌
Dah🥺Anhaa niliviuza Ila madeni yalikuwa mengi mpaka nikasahau mbio za utajiri wa hapa jamvini
Unaweza kuamini leo nimekupa ulanzi?
Usijari baby ngoja nikienda kwenye tohara nitapata hela na kila kitu kitakuwa sawa ,shida wanakijiji walinionea wivu kusikia nina viazi wakawatonyo wote ninaodaiwa nao hivyo siku napakia kwenye kontena kutoka Dar wamenisimamia mlangoniDah🥺
Binadamu wabaya..Usijari baby ngoja nikienda kwenye tohara nitapata hela na kila kitu kitakuwa sawa ,shida wanakijiji walinionea wivu kusikia nina viazi wakawatonyo wote ninaodaiwa nao hivyo siku napakia kwenye kontena kutoka Dar wamenisimamia mlangoni
Hasa wanakijijiBinadamu wabaya..
Wana Wivu tuu...kulima viazi aaahHasa wanakijiji
Ningekuoa ungekuja kulima Ila Sasa kumbe Kuna kijana mtata uko naye labda tufanye Siri tuWana Wivu tuu...kulima viazi aaah
Tutafanya Siri ....Ningekuoa ungekuja kulima Ila Sasa kumbe Kuna kijana mtata uko naye labda tufanye Siri tu
Hapo sawa maana Mimi mambo ya kuchimbwa biti Sina hamu nayo kabisaTutafanya Siri ....