Ukiwadukua Apple unalipwa

Ukiwadukua Apple unalipwa

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
add a headingGMA_20241028_120636_0000.png

Kampuni ya apple imesema itatoa Zawadi ya dola milioni moja kwa yeyote atakayeweza kudukua mfumo wao mpya wa seva za akili bandia (AI) kwenye apple intelligence.

Kampuni hiyo iliweza kutangaza hiyo taarifa siku ya Alhamisi kwa kusema kwamba "inawaalika wadau au wataalamu mbalimbali wenye Uwezo wa kudukua taarifa kuweza kudukua seva Yao kwa kufanya majaribio kujua udhaifu wa mfumo wao huko wapi".

Kwani kampuni hiyo imetangaza kuachia apple intelligence wiki ijayo wakati iOS yao ya 18 itazinduliwa jumatatu ya tarehe 28.

210-1730002657-lal8tjymwm1-27bib486it2-kkspktbpp43.jpg


Apple intelligence itaweza kupatikana kwa watumiaji wa iphone , ipad, macs ndani yake kutakua na tools mbalimbali zitakazo kusaidia kwenye kuandika, clean up, notification , Siri nk.



Ulipwaju unaweza kuwa mkubwa kwa mtu ambaye atakayeweza kuingia kwenye mfumo na kuweza kuhalibu mifumo mbalimbali na kutotambulika.

#bongotech255 #Apple #applehack #Udukuzi #Fahamu #AppleTanzania
 
View attachment 3137114
Kampuni ya apple imesema itatoa Zawadi ya dola milioni moja kwa yeyote atakayeweza kudukua mfumo wao mpya wa seva za akili bandia (AI) kwenye apple intelligence.

Kampuni hiyo iliweza kutangaza hiyo taarifa siku ya Alhamisi kwa kusema kwamba "inawaalika wadau au wataalamu mbalimbali wenye Uwezo wa kudukua taarifa kuweza kudukua seva Yao kwa kufanya majaribio kujua udhaifu wa mfumo wao huko wapi".

Kwani kampuni hiyo imetangaza kuachia apple intelligence wiki ijayo wakati iOS yao ya 18 itazinduliwa jumatatu ya tarehe 28.

View attachment 3137115

Apple intelligence itaweza kupatikana kwa watumiaji wa iphone , ipad, macs ndani yake kutakua na tools mbalimbali zitakazo kusaidia kwenye kuandika, clean up, notification , Siri nk.



Ulipwaju unaweza kuwa mkubwa kwa mtu ambaye atakayeweza kuingia kwenye mfumo na kuweza kuhalibu mifumo mbalimbali na kutotambulika.

#bongotech255 #Apple #applehack #Udukuzi #Fahamu #AppleTanzania
Wazee wa coding tukutane fursa hio
 
View attachment 3137114
Kampuni ya apple imesema itatoa Zawadi ya dola milioni moja kwa yeyote atakayeweza kudukua mfumo wao mpya wa seva za akili bandia (AI) kwenye apple intelligence.

Kampuni hiyo iliweza kutangaza hiyo taarifa siku ya Alhamisi kwa kusema kwamba "inawaalika wadau au wataalamu mbalimbali wenye Uwezo wa kudukua taarifa kuweza kudukua seva Yao kwa kufanya majaribio kujua udhaifu wa mfumo wao huko wapi".

Kwani kampuni hiyo imetangaza kuachia apple intelligence wiki ijayo wakati iOS yao ya 18 itazinduliwa jumatatu ya tarehe 28.

View attachment 3137115

Apple intelligence itaweza kupatikana kwa watumiaji wa iphone , ipad, macs ndani yake kutakua na tools mbalimbali zitakazo kusaidia kwenye kuandika, clean up, notification , Siri nk.



Ulipwaju unaweza kuwa mkubwa kwa mtu ambaye atakayeweza kuingia kwenye mfumo na kuweza kuhalibu mifumo mbalimbali na kutotambulika.

#bongotech255 #Apple #applehack #Udukuzi #Fahamu #AppleTanzania
Kudukua n kosa la kisheria,kwahiyo unataka mtu adukuwe halafu ajitambulishe ili akamatwe...
 
Kudukua n kosa la kisheria,kwahiyo unataka mtu adukuwe halafu ajitambulishe ili akamatwe...
Kudukua n kosa la kisheria,kwahiyo unataka mtu adukuwe halafu ajitambulishe ili akamatwe...
Kudukua n kosa la kisheria,kwahiyo unataka mtu adukuwe halafu ajitambulishe ili akamatwe...
Wazungu ukifanikiwa unaajiliwa na kulipwa hiyo bonas akuna shida hapo wanataka kupima mfumo wao huo
 
Back
Top Bottom