We ni mburula kweli!Hii timu ya samata ni kiboko, kijana anaiwakilisha vizuri Tanzania
Ngapi ngapi??We ni mburula kweli!
Samata yuko aston villa saiv?
Bia yetu hahahahaWe ni mburula kweli!
Samata yuko aston villa saiv?
FT: Aston Villa (0)-Leeds (3)Ngapi ngapi??
Ni kiazi sana, alichojaza kwenye ubongo ni ccm tu, mambo ya kawaida anakua nazi!Bia yetu hahahaha
Hawa jamaa wanasuuza rohoFT: Aston Villa (0)-Leeds (3)
Jamaa wamejipanga haswa mwalimu wao..Hawa jamaa wanasuuza roho
Nimesikitika sijatazama mechi
Liverpool..Jamaa wamejipanga haswa mwalimu wao..
Hivi wewe ni mshabiki wa timu gani pale england
Nakubaliana na wewe. Leeds ndio timu ya kuangalia ...unafurahia uchezani wao.Hapa naangalia Aston Villa anavyotoka jasho dhidi ya Leeds United.
Hawa vijana wa Marcelo Biesla ndio wananiburudisha kuliko timu yoyote EPL kwa sasa. Japo mie shabiki wa Manchester United ila burudani ipo Leeds.
Hawa ukiwafunga ujue jasho limekutoka haswa.
Liverpool alishinda 4 lakini aliruhusu 3 washukuru penalty ya mwishoni.
Safi Sana.
Sasa si walisema kuwa qalikuqa hawashindi kwakuwa samatta alikuwa hafungi,kaondoka je wamefunga?Hapa naangalia Aston Villa anavyotoka jasho dhidi ya Leeds United.
Hawa vijana wa Marcelo Biesla ndio wananiburudisha kuliko timu yoyote EPL kwa sasa. Japo mie shabiki wa Manchester United ila burudani ipo Leeds.
Hawa ukiwafunga ujue jasho limekutoka haswa.
Liverpool alishinda 4 lakini aliruhusu 3 washukuru penalty ya mwishoni.
Safi Sana.
Upepo wa Villa ndio umeanza kuvuma hivyo mkuu.We ni mburula kweli!
Samata yuko aston villa saiv?