johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katika Biblia takatifu nabii wa uongo anatafsiriwa kama mtu ajifanyaye Nabii ama kwa kujidanganya au kudanganya.
Nabii wa uongo ni yule aelezaye maono yenye hila na ulaghai ambayo kamwe hayawezi kukamilishwa.
Tundu Lissu anazungumzia kutoa Bima ya afya kwa watu wote nchini raia na wasio raia, hii ni ahadi yenye hila.
Askofu Gwajima anaahidi kuwapeleka Marekani wananchi wote wa jimbo la Kawe huu ni unabii wa uongo.
Hivi Watanzania, hatuwezi kufanya siasa zilizosheheni ukweli?
Maendeleo tuliyoyapata kwa miaka 5 tunayaona kwa macho yetu tusikubali kudanganywa na vibaraka wa mabeberu.
Maendeleo hayana vyama!
Nabii wa uongo ni yule aelezaye maono yenye hila na ulaghai ambayo kamwe hayawezi kukamilishwa.
Tundu Lissu anazungumzia kutoa Bima ya afya kwa watu wote nchini raia na wasio raia, hii ni ahadi yenye hila.
Askofu Gwajima anaahidi kuwapeleka Marekani wananchi wote wa jimbo la Kawe huu ni unabii wa uongo.
Hivi Watanzania, hatuwezi kufanya siasa zilizosheheni ukweli?
Maendeleo tuliyoyapata kwa miaka 5 tunayaona kwa macho yetu tusikubali kudanganywa na vibaraka wa mabeberu.
Maendeleo hayana vyama!