Ukiwasikiliza wasanii wanataka watu kama Babu Tale, Salam n.k kwenye shirikisho

Ukiwasikiliza wasanii wanataka watu kama Babu Tale, Salam n.k kwenye shirikisho

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Niwapongeze wasanii wachache wenye upeo wa kutambua kuwa wao wanafanya kazi za sanaa lakini wanahitaji watu makini wa kusimamia shughuli zao. watu ambao watawaletea mabadiriko ya kimaendeleo.

Wapo wasanii wachache wenye upeo wanaotaka kutafuta watu wa ku " compliment" madhaifu nayo na kutengeneza strong organization ambayo itawahakikishia matunda mazuri kwenye sanaa zao.

Hongereni sana
 
Mkuu ni vile hujawahi kufanya kazi na hawa wasanii hapa nchini.
1. Kwanza ni much know na pia huwa hawana ushirikiano.
2. Ni wepesi kulalamika mitandaoni ili tu kujionesha kuwa wapo na uelewa na baadhi ya mambo kumbe si kweli.
3. Wengi hawajui wajibu wao kwa mamlaka zinazowasimamia au mashirikisho yao.
4. Ni waongo, wanafiki na wazandiki.
5. Wakiitwa kutoa maoni juu ya wanachotaka hawatokei na ukitekeleza basi watakujia juu mitandaoni.
6. Wasanii wana mashirikisho au vyama mbalimbali, uliza ni wangapi wapo huko kwenye mashirikisho?
7. Wengi hawana elimu juu ya haki zao na kutokana na kujifanya wajuaji, huwa hawana habari na kutafuta ukweli wa haki zao iwe kwa wanasheria au kwa mamlaka za serikali.

Suala la mirabaha na uteuzi wa Steve Nyerere ni ushuhuda juu ya haya yote..
Mkuu usiombe ukawa kwenye nafasi ya kuwasimamia hawa watu, na wanapokosea huwa hawataki kuonekana wamekosea ila utakuta tu habari mtandaoni kuwa umewafanyia ubaya. Hawa watu ni hatari sana, ninajua ugumu anaoupitia Fid Q na tumwombee kwa Mungu amtie nguvu na hekima zaidi
 
Mkuu ni vile hujawahi kufanya kazi na hawa wasanii hapa nchini.
1. Kwanza ni much know na pia huwa hawana ushirikiano.
2. Ni wepesi kulalamika mitandaoni ili tu kujionesha kuwa wapo na uelewa na baadhi ya mambo kumbe si kweli.
3. Wengi hawajui wajibu wao kwa mamlaka zinazowasimamia au mashirikisho yao.
4. Ni waongo, wanafiki na wazandiki.
5. Wakiitwa kutoa maoni juu ya wanachotaka hawatokei na ukitekeleza basi watakujia juu mitandaoni.
6. Wasanii wana mashirikisho au vyama mbalimbali, uliza ni wangapi wapo huko kwenye mashirikisho?
7. Wengi hawana elimu juu ya haki zao na kutokana na kujifanya wajuaji, huwa hawana habari na kutafuta ukweli wa haki zao iwe kwa wanasheria au kwa mamlaka za serikali.

Suala la mirabaha na uteuzi wa Steve Nyerere ni ushuhuda juu ya haya yote..
Mkuu usiombe ukawa kwenye nafasi ya kuwasimamia hawa watu, na wanapokosea huwa hawataki kuonekana wamekosea ila utakuta tu habari mtandaoni kuwa umewafanyia ubaya. Hawa watu ni hatari sana, ninajua ugumu anaoupitia Fid Q na tumwombee kwa Mungu amtie nguvu na hekima zaidi
Hapo kwenye ujuaji ndo hatari zaidi hata uyo Steve ni chawa wa grade A Kuna yake ameyalenga....
 
Tatitizo la watanzania tumeshazoe akili ndogo ziwe zinaongoza akili kubwa,yaani kuanzia Rais,Mawaziri,Wabunge,mpaka huko chini,hawakutakiwa kuwepo hapo walipo,akili zao ni ndogo sana.

Walioko inje ya ulingo ndiyo ilibidi watuongoze wanainchi wao,lakini inchi imekaa kichawachawa tu,
 
Mkuu ni vile hujawahi kufanya kazi na hawa wasanii hapa nchini.
1. Kwanza ni much know na pia huwa hawana ushirikiano.
2. Ni wepesi kulalamika mitandaoni ili tu kujionesha kuwa wapo na uelewa na baadhi ya mambo kumbe si kweli.
3. Wengi hawajui wajibu wao kwa mamlaka zinazowasimamia au mashirikisho yao.
4. Ni waongo, wanafiki na wazandiki.
5. Wakiitwa kutoa maoni juu ya wanachotaka hawatokei na ukitekeleza basi watakujia juu mitandaoni.
6. Wasanii wana mashirikisho au vyama mbalimbali, uliza ni wangapi wapo huko kwenye mashirikisho?
7. Wengi hawana elimu juu ya haki zao na kutokana na kujifanya wajuaji, huwa hawana habari na kutafuta ukweli wa haki zao iwe kwa wanasheria au kwa mamlaka za serikali.

Suala la mirabaha na uteuzi wa Steve Nyerere ni ushuhuda juu ya haya yote..
Mkuu usiombe ukawa kwenye nafasi ya kuwasimamia hawa watu, na wanapokosea huwa hawataki kuonekana wamekosea ila utakuta tu habari mtandaoni kuwa umewafanyia ubaya. Hawa watu ni hatari sana, ninajua ugumu anaoupitia Fid Q na tumwombee kwa Mungu amtie nguvu na hekima zaidi
Haya uliyoyasema ni mambo ya kawaida kwa mkusanyiko kama wa kwao.

anahitajika kiongozi ambaye haji kulalamikia haya au kuyaendeleza bali mtu ambaye atakuja kufanya kazi kuziba mapungufu haya wapate faida katika muziki wao.

ukitazama mfano WCB, diamond asingefanya kitu kama asingepata meneja wa kumsimamia na kumuelekeza pita hapa na pale. Yaani anachokifanya kuna watu wanachora ramani ya hicho na hilo ndilo wasanii wanahitaji, watu wa kuchora ramani na siyo watu wenye hulka kama zao
 
Tatitizo la watanzania tumeshazoe akili ndogo ziwe zinaongoza akili kubwa,yaani kuanzia Rais,Mawaziri,Wabunge,mpaka huko chini,hawakutakiwa kuwepo hapo walipo,akili zao ni ndogo sana.

Walioko inje ya ulingo ndiyo ilibidi watuongoze wanainchi wao,lakini inchi imekaa kichawachawa tu,
Tatizo waliopo nje ya ulingo ndio wanafiki wa kutupwaa. Ikifika muda wa kuwapata wawakilishi hujificha au hugoma kujitokeza hivyo hukaa kuviziq aliyepo madarakani akosee au afukue makaburi kuonesha kiwa hafai. Hii ni sehemu kubwa ya sisi Watanzania mkuu, tena hawa ni watu hatari sana kwani huwa hawataki kujihusisha na michakato rasmi kwa namna yoyote ila wapo standby kunyoosha vidole
 
Haya uliyoyasema ni mambo ya kawaida kwa mkusanyiko kama wa kwao.

anahitajika kiongozi ambaye haji kulalamikia haya au kuyaendeleza bali mtu ambaye atakuja kufanya kazi kuziba mapungufu haya wapate faida katika muziki wao.

ukitazama mfano WCB, diamond asingefanya kitu kama asingepata meneja wa kumsimamia na kumuelekeza pita hapa na pale. Yaani anachokifanya kuna watu wanachora ramani ya hicho na hilo ndilo wasanii wanahitaji, watu wa kuchora ramani na siyo watu wenye hulka kama zao
Nakuelewa sana mkuu, shida ni kuwa wanaongea hivyo nyuma ya keyboards za simu zao ila ukiwaambia mje tukutane, tupange na kuamua agenda zetu aisee HAWAJIII.

Nina mfano hai wa kipindi cha mirabaha, wale wasanii wote unawasikia walikua wanapiga kelele mitandaoni kuliitishwa kikao chao wao na producers, huwezi amini walifika watu 32 tu yaani wasanii na producers.

Sasa unashauri ni utaratibu gani utumike ili kuwamobilize hawa watu ili waweze kutoa maoni ya wanayoyataka kwa namna rasmi?
 
Niwapongeze wasanii wachache wenye upeo wa kutambua kuwa wao wanafanya kazi za sanaa lakini wanahitaji watu makini wa kusimamia shughuli zao. watu ambao watawaletea mabadiriko ya kimaendeleo.

Wapo wasanii wachache wenye upeo wanaotaka kutafuta watu wa ku " compliment" madhaifu nayo na kutengeneza strong organization ambayo itawahakikishia matunda mazuri kwenye sanaa zao

Hongereni sana
Vigezo ambavyo steve hana na babu tale pia hana
 
Vigezo ambavyo steve hana na babu tale pia hana
Kichekesho ni kuwa ukiwauliza wasanii wanaomkataa Steve kuwa wanamtaka nani HAKUNA AMBAYE AMEJIBU yaani hii tasnia aisee ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na watu wenye PhD za fitna, uchonganishi na roho mbaya aisee
 
Kichekesho ni kuwa ukiwauliza wasanii wanaomkataa Steve kuwa wanamtaka nani HAKUNA AMBAYE AMEJIBU yaani hii tasnia aisee ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na watu wenye PhD za fitna, uchonganishi na roho mbaya aisee
Huwez kupendekeza mtu inabidi mwenye sifa ajipime then agombee

Tuambie mkuu ulikuwa unamsimamia msanii gani yakakukuta haya
 
Vigezo ambavyo steve hana na babu tale pia hana
Ndugu yangu usiongee kwa mihemuko, jaribu kuelewa mada

Ninachokisema ni kwamba baba tale na salamu sisemi wao ndiyo wawe wasemaji bali babu tale na salam wao nimewatumia kukuonyesha kazi wanayoifanya kwa diamond platinum. wamemfikisha wapi?

Wasanii wanahitaji watendaji wa kunyanyua sanaa yao kutoka ilipo sasa ambapo ni kama hatua aliyokuwepo diamond platinum miaka hiyo. Leo wamemfikisha wapi ndiko watu wanaotakiwa kutumiwa na wasanii watazame tasnia ya muziki yote ipande hivyo.

Sasa steve ni mtu wa aina kama ya haji manara, wao ni wahamasishaji, kutangaza jina. Mtu wa kusema maneno mengi. hawa ni watu wanaofaa kwenye vilabu vya mpira kuhamasisha mashabiki, kwenye makampuni kuhamasisha wateja lakini umoja wa wasanihii unahitaji watu wa mipango itakayokuja kunufaisha industry kwa pamoja.

Ukiwasikiliza wasanii kwa makini utaelewa wapo wenye upeo wanaojua kazi za umoja sio kuhamasisha kutangaza jina la umoja lakini wawe watu ambao wanaweza kuchungulia sheria zina mapungufu gani wakapendekeza, wawe ni watu wanaoweza kuangalia huko nje kinafanyika nini kwa wasanii kilichwaendeleza wakajaribu kukopi, wawe ni watu wanaoweza kutazama fursa za kibiashara kama uingiaji mikataba mbalimbali wakashauri.

Shida nyinyi mnatazama mtu wa kupiga kelele kwenye vyombo vya habari na hiyo kazi steve anaiweza lakini wao wanaona hawatafuti mtu wa kufanya hivyo bali mtu wa kuwa mtendaji kufanya wasiyoyaweza wao
 
Kichekesho ni kuwa ukiwauliza wasanii wanaomkataa Steve kuwa wanamtaka nani HAKUNA AMBAYE AMEJIBU yaani hii tasnia aisee ndio kwa mara ya kwanza nilikutana na watu wenye PhD za fitna, uchonganishi na roho mbaya aisee
hiki unachokiongea kinaonyesha udhaifu mkubwa wa kutoelewa wanachokitaka wasanii lakini wewe ndiye unawacheka.
 
🤣🤣🤣
 
Ndugu yangu usiongee kwa mihemuko, jaribu kuelewa mada

ninachokisema ni kwamba baba tale na salamu sisemi wao ndiyo wawe wasemaji bali babu tale na salam wao nimewatumia kukuonyesha kazi wanayoifanya kwa diamond platinum. wamemfikisha wapi?

wasanii wanahitaji watendaji wa kunyanyua sanaa yao kutoka ilipo sasa ambapo ni kama hatua aliyokuwepo diamond platinum miaka hiyo. Leo wamemfikisha wapi ndiko watu wanaotakiwa kutumiwa na wasanii watazame tasnia ya muziki yote ipande hivyo.

Sasa steve ni mtu wa aina kama ya haji manara, wao ni wahamasishaji, kutangaza jina. Mtu wa kusema maneno mengi. hawa ni watu wanaofaa kwenye vilabu vya mpira kuhamasisha mashabiki, kwenye makampuni kuhamasisha wateja lakini umoja wa wasanihii unahitaji watu wa mipango itakayokuja kunufaisha industry kwa pamoja.

ukiwasikiliza wasanii kwa makini utaelewa wapo wenye upeo wanaojua kazi za umoja sio kuhamasisha kutangaza jina la umoja lakini wawe watu ambao wanaweza kuchungulia sheria zina mapungufu gani wakapendekeza, wawe ni watu wanaoweza kuangalia huko nje kinafanyika nini kwa wasanii kilichwaendeleza wakajaribu kukopi, wawe ni watu wanaoweza kutazama fursa za kibiashara kama uingiaji mikataba mbalimbali wakashauri.

shida nyinyi mnatazama mtu wa kupiga kelele kwenye vyombo vya habari na hiyo kazi steve anaiweza lakini wao wanaona hawatafuti mtu wa kufanya hivyo bali mtu wa kuwa mtendaji kufanya wasiyoyaweza wao
Hukunielewa tu ila mlengo wako ndio huohuo nilioulenga mm
 
Kwa upande wangu hata ilo shirikisho siyo muhimu sana kwao kwani lina dalili ya kuzidi kutengeneza mpasuko kati yao

Nikama limewekwa kunufaisha wachache nikama linaenda kupalilia chuki kati ya wasanii shirikisho haliwezi watambulisha popote pale pasi na juudi ya kujituma kwenye kazi zao za sanaa
 
Mkuu ni vile hujawahi kufanya kazi na hawa wasanii hapa nchini.
1. Kwanza ni much know na pia huwa hawana ushirikiano.
2. Ni wepesi kulalamika mitandaoni ili tu kujionesha kuwa wapo na uelewa na baadhi ya mambo kumbe si kweli.
3. Wengi hawajui wajibu wao kwa mamlaka zinazowasimamia au mashirikisho yao.
4. Ni waongo, wanafiki na wazandiki.
5. Wakiitwa kutoa maoni juu ya wanachotaka hawatokei na ukitekeleza basi watakujia juu mitandaoni.
6. Wasanii wana mashirikisho au vyama mbalimbali, uliza ni wangapi wapo huko kwenye mashirikisho?
7. Wengi hawana elimu juu ya haki zao na kutokana na kujifanya wajuaji, huwa hawana habari na kutafuta ukweli wa haki zao iwe kwa wanasheria au kwa mamlaka za serikali.

Suala la mirabaha na uteuzi wa Steve Nyerere ni ushuhuda juu ya haya yote..
Mkuu usiombe ukawa kwenye nafasi ya kuwasimamia hawa watu, na wanapokosea huwa hawataki kuonekana wamekosea ila utakuta tu habari mtandaoni kuwa umewafanyia ubaya. Hawa watu ni hatari sana, ninajua ugumu anaoupitia Fid Q na tumwombee kwa Mungu amtie nguvu na hekima zaidi
Ngosha wakihaya - Fid Q kapatwa na nini
 
Huwez kupendekeza mtu inabidi mwenye sifa ajipime then agombee

Tuambie mkuu ulikuwa unamsimamia msanii gani yakakukuta haya
Mkuu wewe unasema haya ni kwa kuwa nawe pia kama walivyo wasanii wengi hawaijui hata hiyo katiba ya shirikisho😂😂😂😂😂 mamlaka waliyonayo wakuu wa shirikisho yanawaruhusu kabisaaa kuteua mtu watakayeona anafaa.
Nakupa task, ukikutana na msanii muulize swali moja tu, "Namba yako ya uanachama wa shirikisho la wanamuziki Tanzania ni ngapi?" Baaasi utapata picha ya kuwa hawa ni watu wa namna gani.
Though ninasema haya kwa sababu sipendi na ninachukia fitna na uzandiki aliofanyiwa Fod Q kwani jamaa anapambana sana yaani sanaaa kwa ajili ya hawa wasanii ambao matokeo yake ndio haya
 
hiki unachokiongea kinaonyesha udhaifu mkubwa wa kutoelewa wanachokitaka wasanii lakini wewe ndiye unawacheka.
Ninakubaliana na mtazamo wako pia mkuu. Naomba nikuulize swali moja tu, jana kuliitishwa mkutano wa wasanii je unajua wasanii waliohudhuria ni wangapi? Ukishajua njoo hapa useme mimi siwaelewi wanachotaka
 
Back
Top Bottom