Ukiwasikiliza wasanii wanataka watu kama Babu Tale, Salam n.k kwenye shirikisho

Ukiwasikiliza wasanii wanataka watu kama Babu Tale, Salam n.k kwenye shirikisho

Ndo ishakua hvi sasa,kasema hatokiView attachment 2160455

Ninakubaliana na mtazamo wako pia mkuu. Naomba nikuulize swali moja tu, jana kuliitishwa mkutano wa wasanii je unajua wasanii waliohudhuria ni wangapi? Ukishajua njoo hapa useme mimi siwaelewi wanachotaka
Achana na mambo ya mahudhurio, kinachofanya kazi siyo mahudhuri ni kuwa na chombo chenye watendaji wanaofanya kazi basi.

haya mambo ya sijui ukiitisha mkutano wanakuja wachache ni hoja za watu vipofu, unaitisha mkutano leo unasema kesho tukutane sehemu unataka watu wakatize ziara zao n.k

kitu kikubwa ni kuwa na watendaji na ikiwezekana kila msanii achangie gharama za kuwalipa hawa watendaji na kila msanii anufaike na kuwepo watendaji. Mikutano inaweza kufanyika hata kwa technolojia, unaweza hoja online na kila mtu anatoa mawazo yake.

ni hulka za udikiteta kudhani watu nikisema kesho tukusanyike sehemu lazima wote waje na wasipokuja kwamba kiwe kigezo cha kuwapelekesha utakavyo na siyo kwa faida yao
 
Achana na mambo ya mahudhurio, kinachofanya kazi siyo mahudhuri ni kuwa na chombo chenye watendaji wanaofanya kazi basi.

haya mambo ya sijui ukiitisha mkutano wanakuja wachache ni hoja za watu vipofu, unaitisha mkutano leo unasema kesho tukutane sehemu unataka watu wakatize ziara zao n.k

kitu kikubwa ni kuwa na watendaji na ikiwezekana kila msanii achangie gharama za kuwalipa hawa watendaji na kila msanii anufaike na kuwepo watendaji. Mikutano inaweza kufanyika hata kwa technolojia, unaweza hoja online na kila mtu anatoa mawazo yake.

ni hulka za udikiteta kudhani watu nikisema kesho tukusanyike sehemu lazima wote waje na wasipokuja kwamba kiwe kigezo cha kuwapelekesha utakavyo na siyo kwa faida yao
Sawa mkuu ninakuelewa sanaaa ila nadhani hujawahi kufanya kazi kwa ukaribu na hawa watu. Nauliza tena, unaifahamu nabkuisoma katiba ya shirikisho la wasanii wa muziki Tanzania?
Ukinijibu hapo basi utakua umepata majibu automatically juu ya uteuzi wa Steve, juu ya utaratibu wa maamuzi na juu ya kushuguulikia tatizo. Pia nakupa na issue ya ziada kuwaa ukikutana na msanii yeyote muulize swali hili "Wewe ni mwanachama namba ngapi katika shirikisho la wasanii wanaoimba muziki wa aina yako?"
 
Haya uliyoyasema ni mambo ya kawaida kwa mkusanyiko kama wa kwao.

anahitajika kiongozi ambaye haji kulalamikia haya au kuyaendeleza bali mtu ambaye atakuja kufanya kazi kuziba mapungufu haya wapate faida katika muziki wao.

ukitazama mfano WCB, diamond asingefanya kitu kama asingepata meneja wa kumsimamia na kumuelekeza pita hapa na pale. Yaani anachokifanya kuna watu wanachora ramani ya hicho na hilo ndilo wasanii wanahitaji, watu wa kuchora ramani na siyo watu wenye hulka kama zao
Akili yako Ni ndogo sana.

Hao mameneja wa WCB unaowasema ndio hao kina Take, Sallam na Fela au Kuna wengine?
 
Back
Top Bottom