Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wasalaam!
Naomba majibu ya hili swali maana nawashangaa wanapo lalamika kuwa media za tz haziwapi air time wakati wasanii wao kwanza ni wachache sana na ni wale wale na wasingelifika walipo kama insingelikuwa ni media za Tanzania......
Bado najiuliza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba majibu ya hili swali maana nawashangaa wanapo lalamika kuwa media za tz haziwapi air time wakati wasanii wao kwanza ni wachache sana na ni wale wale na wasingelifika walipo kama insingelikuwa ni media za Tanzania......
Bado najiuliza..
Sent using Jamii Forums mobile app