yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Pamoja na ushabiki hapa Haji S. Manara umeongea ukweli mweupe...ni mchungu ila ndio ukweli......kama mabadiliko ya mifumo ya uendeshaji wa hizi Club zetu kubwa mbili yasipofanyika hili linalowakuta Yanga litakuwa ni jambo la kupokezakana tuuuu......well said.