Inategemea na biashara uliochagua, hukusoma payback period nini mzee kwenye financial management?Wakuu,
Ukiwekeza 20m kwenye biashara yoyote ile, minimum period ya return inabidi iwe lini?
Yani mtaji inabidi urudishe ndani ya muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa biashara ya mikopo ambayo riba ni 12percent kwa mwezi return itakuwa ndani ya miezi 9 utakuwa umepata hela yako yote ila masharti lazima yazingatiwe.Wakuu,
Ukiwekeza 20m kwenye biashara yoyote ile, minimum period ya return inabidi iwe lini?
Yani mtaji inabidi urudishe ndani ya muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah akili za mmbongo ndio hizo hizo kama ulikuwepo, atalaza hela yote kwenye viatu, jeans tshirt n.k. Duka flani kubwa ila anachokipata ni faida kidogo sana kwa mwaka.Inategemea Umeamua kuchagua biashara gani na unaingiza ngap kwa siku maana kwa akil za vijana wa kitz atakmbilia kufungua duka la nguo ila kwa akili za waarabu atanunua ata coaster mbovu siti 30 au 40 aipange Mwanza- kahama kwa siku akitoa gharama zote 170-220 hakosi miez6 tu au 8 hela imerudi biashara za hawa jamaa hela inarudg ndan ya mwaka tu ila wabongo paka uhangaike miaka mitano au mitatu
Inategemeana na aina ya biashara,ukiwekeza 20m kwenye forex baada ya mwezi utakupata kima cha chini ambacho ni 20m lakn ukiweza kwenye kulima mpunga itategemeana na hali ya hewa kwani unaweza usipata chochote!Wakuu,
Ukiwekeza 20m kwenye biashara yoyote ile, minimum period ya return inabidi iwe lini?
Yani mtaji inabidi urudishe ndani ya muda gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni faida kiasi gani uko tayari kuchukua kwa kila bidhaa moja unayozalisha baada ya kutoa gharama zote za uzalishaji, kodi, wages na usambazaji ?Kwa biashara ya mikopo ambayo riba ni 12percent kwa mwezi return itakuwa ndani ya miezi 9 utakuwa umepata hela yako yote ila masharti lazima yazingatiwe.
forex hata masaa 6 hiyo 20m inarudiInategemeana na aina ya biashara,ukiwekeza 20m kwenye forex baada ya mwezi utakupata kima cha chini ambacho ni 20m lakn ukiweza kwenye kulima mpunga itategemeana na hali ya hewa kwani unaweza usipata chochote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe binafsi uko tayari kuchukua faida ya kiasi gani kwa kila bidhaa unayouza baada ya kutoa gharama zote za uzalishaji, mishahara, kodi na usambazaji ?Yeah akili za mmbongo ndio hizo hizo kama ulikuwepo, atalaza hela yote kwenye viatu, jeans tshirt n.k. Duka flani kubwa ila anachokipata ni faida kidogo sana kwa mwaka.
Mi huwa kwenye investment naangalia ratio ya returns on investment.Siwezi kuwekeza katika biashara yeyote ya kunirudishia chini ya 70% of the investment ndani ya miezi 6, yani imepungua sana basi ni 50% ya mtaji iwe imerudi!
Yeah akili za mmbongo ndio hizo hizo kama ulikuwepo, atalaza hela yote kwenye viatu, jeans tshirt n.k. Duka flani kubwa ila anachokipata ni faida kidogo sana kwa mwaka.
Mi huwa kwenye investment naangalia ratio ya returns on investment.Siwezi kuwekeza katika biashara yeyote ya kunirudishia chini ya 70% of the investment ndani ya miezi 6, yani imepungua sana basi ni 50% ya mtaji iwe imerudi!
Inategemea Umeamua kuchagua biashara gani na unaingiza ngap kwa siku maana kwa akil za vijana wa kitz atakmbilia kufungua duka la nguo ila kwa akili za waarabu atanunua ata coaster mbovu siti 30 au 40 aipange Mwanza- kahama kwa siku akitoa gharama zote 170-220 hakosi miez6 tu au 8 hela imerudi biashara za hawa jamaa hela inarudg ndan ya mwaka tu ila wabongo paka uhangaike miaka mitano au mitatu
Mkuu tunaomba ututajie japo biashara 2 tu ili nasi tukakope tuanzishe.Mi huwa kwenye investment naangalia ratio ya returns on investment.Siwezi kuwekeza katika biashara yeyote ya kunirudishia chini ya 70% of the investment ndani ya miezi 6, yani imepungua sana basi ni 50% ya mtaji iwe imerudi!
Naomba mnijuze vizuri kuhusu hiyo forexforex hata masaa 6 hiyo 20m inarudi
12% ni hela yako ya mfukoni maana yake hapo ni zaidi ya 12% iyo ziada ndio niliweka kwenye hesabu za kulipia wages, kodi na admin coast.Ni faida kiasi gani uko tayari kuchukua kwa kila bidhaa moja unayozalisha baada ya kutoa gharama zote za uzalishaji, kodi, wages na usambazaji ?
amesahau kukwambiakuwa pia inaweza kupotea ndani ya dakika.Naomba mnijuze vizuri kuhusu hiyo forex