Ukiwekeza kwa mwanamke basi muda wote utakua unaishi na mashaka ya kumpoteza

Ukiwekeza kwa mwanamke basi muda wote utakua unaishi na mashaka ya kumpoteza

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Ukiwekeza kwa mwanamke basi muda wote utakua unaishi na mashaka ya kumpoteza.

Uoga wa kumpoteza utakufanya kushusha chini standards zako na kupuuzia red flags unazoziona kutoka kwake.

Iwe kumsomesha, kumfungulia biashara mwanamke n.k, usifanye ilo kosa, kwa sababu utakua mateka wa wema wako. Mawazo ya kufanya maamuzi ya kiume yatazidiwa uzito na uwekezaji wako ulioufanya

Don't try hard to force yourself on her, don't try too hard to impress her. It will end in tears, when it comes to their interests women are brutal and ruthless.

Kuna masimp wengi tu uko mtaani wana uwezo wa kumpa mara mbili ya hayo unayompa wewe.

Kuna maisha mengine nje ya mahusiano, kuna maisha mengine nje ya huo upwiru wako wa dakika 10.

Be smart men, don't build your life around a woman because the fear of losing her will enslave you and make you lose your dignity, and that the moment you will be a qualified simp
 
Ukiwekeza kwa mwanamke basi muda wote utakua unaishi na mashaka ya kumpoteza.

Uoga wa kumpoteza utakufanya kushusha chini standards zako na kupuuzia red flags unazoziona kutoka kwake.

Iwe kumsomesha, kumfungulia biashara mwanamke n.k, usifanye ilo kosa, kwa sababu utakua mateka wa wema wako. Mawazo ya kufanya maamuzi ya kiume yatazidiwa uzito na uwekezaji wako ulioufanya

Don't try hard to force yourself on her, don't try too hard to impress her. It will end in tears, when it comes to their interests women are brutal and ruthless.

Kuna masimp wengi tu uko mtaani wana uwezo wa kumpa mara mbili ya hayo unayompa wewe.

Kuna maisha mengine nje ya mahusiano, kuna maisha mengine nje ya huo upwiru wako wa dakika 10.

Be smart men, don't build your life around a woman because the fear of losing her will enslave you and make you lose your dignity, and that the moment you will be a qualified simp
Tell them young boys wajue. sad is mwanaume anahangaiks kumuaminisha mwanamke that he is the one, mwishowe kuambulia magonjwa, stress na financial struggles

Mwamake akikubali yeye mwenyewe you will no, wala hutojitoa sana atajimwaga kwako mwenyewe
 
Tell them young boys wajue. sad is mwanaume anahangaiks kumuaminisha mwanamke that he is the one, mwishowe kuambulia magonjwa, stress na financial struggles

Mwamake akikubali yeye mwenyewe you will no, wala hutojitoa sana atajimwaga kwako mwenyewe
Naumia sana ninapowaona wadogo zangu huku mtaani wanashindwa kupiga hatua kwa sababu ya kubeba majukumu ya wakina baba wa mademu zao.
 
Kwa kukazia


Stay single, Build yourself first
1728300379353.jpg
 
Ukiwekeza kwa mwanamke basi muda wote utakua unaishi na mashaka ya kumpoteza.

Uoga wa kumpoteza utakufanya kushusha chini standards zako na kupuuzia red flags unazoziona kutoka kwake.

Iwe kumsomesha, kumfungulia biashara mwanamke n.k, usifanye ilo kosa, kwa sababu utakua mateka wa wema wako. Mawazo ya kufanya maamuzi ya kiume yatazidiwa uzito na uwekezaji wako ulioufanya

Don't try hard to force yourself on her, don't try too hard to impress her. It will end in tears, when it comes to their interests women are brutal and ruthless.

Kuna masimp wengi tu uko mtaani wana uwezo wa kumpa mara mbili ya hayo unayompa wewe.

Kuna maisha mengine nje ya mahusiano, kuna maisha mengine nje ya huo upwiru wako wa dakika 10.

Be smart men, don't build your life around a woman because the fear of losing her will enslave you and make you lose your dignity, and that the moment you will be a qualified simp
Kwaio umemuanzishia Uzi mchiz madimax😊😊

Simp (/sɪmp/) is an internet slang term describing someone who shows excessive sympathy and attention toward another person, typically to someone who does not reciprocate the same feelings, in pursuit of affection or a sexual relationship.
 
And after building youself? now you can enter in relationship to slow down your growth?
Utakuwa umeshakiwa vya kutosha sasa economically, sio rahisi mwanamke kuweza kukuangusha
Pia kiakili utazid kuwa mature ku handle ur success kumbuka ur strugge (when u grow economically) build character.
Na sizungumzii case ya relationship nazungumzia case ya marriage
 
Utakuwa umeshakiwa vya kutosha sasa economically, sio rahisi mwanamke kuweza kukuangusha
Pia kiakili utazid kuwa mature ku handle ur success kumbuka ur strugge (when u grow economically) build character.
Na sizungumzii case ya relationship nazungumzia case ya marriage
Ni kweli. Mahusiano ni liability kwa mwanaume lakini hii liability ni bora uibebe ukiwa umejipata kuliko kuibeba ukiwa unajitafuta.

Hata iyo ndoa yenyewe kwa sasa haina maana kwa mwanaume kwa sababu wanawake washajanjaluka na kuona ndoa ina loopholes za kisheria ambazo wakizitumia kimkakati zinawapa mali, pesa au utajiri kirahisi

Regardless of ndoa au mahusiano ya kawaida tu, ni risk kwa mwanaume kuwekeza kwa mwanamke.
 
Back
Top Bottom