Ukiweza elewa hii picha uwezi bishana na mashabiki Simba

Ukiweza elewa hii picha uwezi bishana na mashabiki Simba

sunguramjinga

Senior Member
Joined
May 11, 2023
Posts
175
Reaction score
227
Kwa muda mrefu sasa nimekua nikifanya tafiti juu ya uelewa wa mpira wa mashabiki wa simba, na mambo niliyagundua ni yafuatayo

1) Wengi wao mpira wameanza fatilia 2019
2) Wengi wao dish zimeyumba
3)Wengi wao much know
4) Wenye akili wanajitoa ufahamu
5) Wengi wanabishia uzoefu
6) Watu wakujikweza
7) Wanaridhika na mafanikio yasio na umuhimu mfano; kumfunga al ahly, kaiser chief, rs berkane, wyday na nyingne kubwa kwa mkapa.
8) Kudanganywa au kuaminisha uongo na viongozi wao ni rahisi mno kama kumsukuma mlevi
9)Wanapenda kusifia na page mbalimbali za michezo kwamba wao ni timu kubwa sawa sawa na Tp mazembe na magiants wengne wa wakiarabu
10) Wanapenda kufa kiume hakubali kwenye kujipanga na kupambana

1683965218985.png
 
Kwa muda mrefu sasa nimekua nikifanya tafiti juu ya uelewa wa mpira wa mashabiki wa simba, na mambo niliyagundua ni yafuatayo

1) Wengi wao mpira wameanza fatilia 2019
2) Wengi wao dish zimeyumba...
Nadhani mashabiki wa pande zote mbili wana shida ya uelewa duni na pia ni watu wa mihemko zaidi. Hata hivyo, wale wa Simba wamezidi
 
Soon naiweka sema kwenye fail langu la telegram zipo nyingi sana nmeitafuta jana sjaiona lkn ipooooo mama j akilamba[emoji509]
Mama j fc
Vibaka fc
Vinyesi fc
Losers fc
Walamba lolo fc
Vigodoro fc

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ile season yao ya kucheza uchi nasikia inaendelea wakitoka south kucheza na Marumo Shooting
 
Mama j fc
Vibaka fc
Vinyesi fc
Losers fc
Walamba lolo fc
Vigodoro fc

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ile season yao ya kucheza uchi nasikia inaendelea wakitoka south kucheza na Marumo Shooting
1683970529690.png
 
Sasa kama yule Popoma mbobevu naye ni shabiki wa simba! Unapata picha gani!!
 
Nyie ndo ushabiki wenu umeanza miaka ya 2000 maana tukiwambia Simba alifika fainali michuano ya caf mwaka 1993 unabisha mpaka unajamba!!!
 
Ile sanamu ya Askari posta itolewe iwekwe ya Rage
 
Back
Top Bottom