Ukiweza kumuheshimu binadamu mwenzio utamuheshimu Mungu pia

Ukiweza kumuheshimu binadamu mwenzio utamuheshimu Mungu pia

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Maisha ya mtu na mtu hapa duniani na utawala wa nchi, unamahusiano sana na Mungu ni nani kwetu.
Isaya 49:15
Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.

Mungu anasema hawezi kukusahau wewe, pia upendo wake kwako kwa kufikiria ni zaidi ya mama ampendavyo mtoto wake anyonyae.

Mahusiano ya kimapenzi mke na mume.
Yeremia 3:9-10
[9]Hata ikawa, kwa sababu alikuwa mwepesi wa kufanya ukahaba, nchi ikatiwa unajisi, naye akazini na mawe na miti.
[10]Na pamoja na hayo yote dada yake, Yuda mwenye hiana, hajanirudia mimi kwa moyo wake wote, bali kwa unafiki, asema BWANA.

Mungu ni mume na binadamu ni mke, ni jinsi gani inauma sana kwa mwanaume kuona mke wake aliyempenda sana na kuzaa nae watoto anakwenda kuwa kahaba na kujiuza kama choo cha kulipia.

Inauma sana, kinababa najua mnanielewa, mke akafanywe nje huku ana na mimba yako juu.

Acha kuvaa hirizi, acha kutegemea majini na kutoa kafara kwa miungu, unamkasirisha sana Mungu.
 
Maisha ya mtu na mtu hapa duniani na utawala wa nchi, unamahusiano sana na Mungu ni nani kwetu.
Isaya 49:15
Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe.

Mungu anasema hawezi kukusahau wewe, pia upendo wake kwako kwa kufikiria ni zaidi ya mama ampendavyo mtoto wake anyonyae.

Mahusiano ya kimapenzi mke na mume.
Yeremia 3:9-10
[9]Hata ikawa, kwa sababu alikuwa mwepesi wa kufanya ukahaba, nchi ikatiwa unajisi, naye akazini na mawe na miti.
[10]Na pamoja na hayo yote dada yake, Yuda mwenye hiana, hajanirudia mimi kwa moyo wake wote, bali kwa unafiki, asema BWANA.

Mungu ni mume na binadamu ni mke, ni jinsi gani inauma sana kwa mwanaume kuona mke wake aliyempenda sana na kuzaa nae watoto anakwenda kuwa kahaba na kujiuza kama choo cha kulipia.

Inauma sana, kinababa najua mnanielewa, mke akafanywe nje huku ana na mimba yako juu.

Acha kuvaa hirizi, acha kutegemea majini na kutoa kafara kwa miungu, unamkasirisha sana Mungu.
Wazee wa kuhadaa umma kwa faida binafsi.
 
Wazee wa kuhadaa umma kwa faida binafsi.
Ezekieli 23:28-30
[28]Maana Bwana MUNGU asema hivi, Tazama nitakutia katika mikono yao unaowachukia, katika mikono yao, ambao roho imefarakana nao;
[29]nao watakutenda mambo kwa chuki, watakuondolea kazi zako zote, watakuacha uchi, huna nguo na aibu ya mambo yako ya kikahaba itafunuliwa, uasherati wako na uzinzi wako.
[30]Utatendwa mambo hayo kwa sababu umezini na hao wasioamini, na kwa sababu umetiwa unajisi kwa vinyago vyao.
 
Back
Top Bottom