Mm nimeona lakini kama siyo pakaPaka yuko chini kabisa kona ya kulia.
Watu watatu wako juu kona ya kushoto.
Wengine watatu wako wamezunguka hicho kinachoonekana kama kigari cha mwaka 80
Kuna bata hapo nimemuona naomba ubainishe alipo pia
Watu wawili kushoto (Ke na Me), katikati kwa juu mmoja aonekanaye kama Me, kwenye gari wako Me wawili na Ke wawili (Watu wanne).Paka yuko chini kabisa kona ya kulia.
Watu watatu wako juu kona ya kushoto.
Wengine watatu wako wamezunguka hicho kinachoonekana kama kigari cha mwaka 80
Kuna bata hapo nimemuona naomba ubainishe alipo pia